Mtazamo wangu: Yanga ndiye bingwa wa CAFCC 2023

Sina shida na mashabiki wa Yanga kuwadhihaki mashabiki wa Simba endapo Yanga ingeshinda na ningewapongeza kwa hilo maana lingeleta changamoto kwa Simba kukazana ili na wao walete kombe!

Binafsi kama ningekuwa rais wa nchi hii ningewasweka rumande wote wanaoshabikia timu pinzani kwenye mechi za kimataifa! Haiwezekani wimbo wa taifa uimbwe kabla ya mechi halafu litokee dude fulani jinga kusapoti timu pinzani! Kwangu huo ungekuwa uhujumu uchumi!

Wimbo wa taifa huimbwa katika mazingira machache muhimu kama vile rais anapotaka kuhutubia taifa na timu za mpira zinaposhiriki mechi za kimataifa! Bila shaka, kwa wakati ule, wachezaji wanaliwakilisha taifa! Wapo kwa niaba ya wananchi na kwa niaba mh rais! Kushindwa ni kumuaibisha rais na ni kuliaibisha taifa! Kama ningekukuta unashabikia rais kuaibishwa lazima ungetafuta nchi ya kwenda!
 
Kwa hiyo sisi tuamini hisia zako au tuwaamini CAF?

Yaani tuwe wazalendo wakati ka premature kama ali kamwe amesema uzalendo ni kwa taifa stars?

JItahidi kaa karibu na wale watu wawili pale utopoloni
 
Yanga imetoa somo la jinsi ya kuipambania nchi mpaka Mama Samia kaguswa na kutoa ndege

Raisi wa nchi kaguswa na mafanikio ya Yanga kuliko hata Raisi wa TFF mwenye dhamana ya michezo
 
Kwa hiyo sisi tuamini hisia zako au tuwaamini CAF?

Yaani tuwe wazalendo wakati ka premature kama ali kamwe amesema uzalendo ni kwa taifa stars?

JItahidi kaa karibu na wale watu wawili pale utopoloni
 
Tatizo lililopo hapa kwetu, ni hili la mashabiki wengi wa simba kuwa mbumbumbu. Kwa hiyo hata serikali ifanye nini, bado hawawezi kuondoa roho za kichawi na husuda mioyoni mwao.
 
Wewe ni mwehu kwani jana hukapata matokeo! Au unajitoa ufahamu
 
Mfungwe Yanga,muilaumu Simba...pumbav kabisa
 
Huu ulikuwa mwaka wa Yanga kuupata ubingwa huu ila ndo hivo imeisha hiyo na bahati haiji mara mbili.Inaweza kutuchukua miaka mingi kufikia hatua hii.Fikiria tangu 1993 ndo kidogo watz tumeonja tena fainali.
 
Tena nimeumia sn vyura kushinda 1 jana,anyway hii ndo maana halisi ya kufa kiume sasa.

Hongereni kombe mmebeba
Haipaswi kuwa mtani! Tufanyiane yote mechi za ndani lakini kimataifa tuwe wamoja!

Binafsi naamini kimataifa akishinda Simba ni taifa limeshinda! Vivyo hivyo hivyo akishinda Yanga ni taifa limeshinda!

Faida ya ushindi ni yetu wote! Kama Yanga ikishinda soko letu la mpira kimataifa linaongezeka! Mataifa ya ughaibuni yakija kutafuta wachezaji wa kuzichezea timu zao pengine wakanunua wachezaji toka Simba pia sababu tu ya soka safi lililotandazwa na Yanga!

Mpira ni ajira! Mnapohujumu timu inayoshiriki kimataifa mnauhujumu uchumi wa nchi na mmatakiwa kushitakiwa kwa kosa la uhujumu uchumi!
 
Huu ulikuwa mwaka wa Yanga kuupata ubingwa huu ila ndo hivo imeisha hiyo na bahati haiji mara mbili.Inaweza kutuchukua miaka mingi kufikia hatua hii.Fikiria tangu 1993 ndo kidogo watz tumeonja tena fainali.
Mwakani tunachukua! Tumejifunza mengi na tunajipanga na mbinu mpya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…