Mtazamo wangu: Yanga ndiye bingwa wa CAFCC 2023

Toka nizaliwe sijawahi ona team ya kutoka Tanzania inaupiga mwingi kuliko Yanga. Hii Yanga ni hatari mno

[emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617]
 
Najua unaumia hata kwa hapo Yanga imefikia! Mtani huna kombe lolote mwaka huu! Si bora Yanga amejaribu! Huo ni wivu!
Kwan lazima mashabiki wa Simba waisapoti Yanga ikiwa inacheza na team za nje?? Poleeeeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa Nini walituroga kenge Hawa?... Mm sijaona timu ya kuifunga yanga palee.

Na hasa lile goli la pili walishirikiana na kigagura wa simba

GENTAMYCIME kutuharibia [emoji24]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tatizo lililopo hapa kwetu, ni hili la mashabiki wengi wa simba kuwa mbumbumbu. Kwa hiyo hata serikali ifanye nini, bado hawawezi kuondoa roho za kichawi na husuda mioyoni mwao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kula chuma hikoooooo.
 
Hakuna mtu anaweza kujengea mtu uzalengo duniani, uzalendo ni tunda la haki na fairness, Ni ujinga sana kitu simba wamefanya, ila wametumia uhuru wao.
Kosa la Simba lipo wapi boss ?...
 
Hapo pa kupewa mashabiki buree kabisaaa.
 
Hapo kwa Wanawake wa Rwanda na nadhani unamanisha watutsi kutokuzaa na wanaume wengine umedanganya Mkuu,wapo wanaolewa na kuzaa vizuri tu.Chezea dhiki wewe,njaa haina baunsa,mwanamke wa kitutsi mpe maisha tu,atakuzalia hata watoto 20 na akiwa na maisha mazuri hata kwao hawakumbukagi kwenda mara kwa mara.
 
Tatizo lipo TFF, walianza kuisigina Yanga mapema sana kabla hata haijafika hatua hii.

Ndio maana Yanga waliamua kuweka nguvu kubwa mechi za ugenini Kwa sababu nyumbani hakueleweki.
Kama tatizo lipo TFF na lipo kwao tu, nashauri wahamie ligi ya Yemen kwa kina Ghalib.
 
 

Attachments

  • FB_IMG_1685867375406.jpg
    27.9 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1685865513846.jpg
    84.1 KB · Views: 1
Final ingechezwa 1 kama inavyotakiwa si ungekua umeliwa hapohapo nchini kwako?
 
.
 
Alikomwe alituambia uzalendo tupeleke taifa stars, wewe unakuja na ya kwako leo, mmetolewa full stops
 
Alikomwe alituambia uzalendo tupeleke taifa stars, wewe unakuja na ya kwako leo, mmetolewa full stops
Fainali haina kutolewa zuzu wewe, ndio mwisho wa mashindano.

Yanga imeanza mwanzo mpaka mwisho, kigoma ndio mwisho wa reli.
 

Attachments

  • FB_IMG_1685867375406.jpg
    27.9 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1685865513846.jpg
    84.1 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1685861984870.jpg
    45 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1685856901618.jpg
    52.3 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ