Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,653
- 4,744
Kama isingekuwa uchawi wa Simba nisingeliwa haki ya Mungu!Final ingechezwa 1 kama inavyotakiwa si ungekua umeliwa hapohapo nchini kwako?
That don't mean a shit to meFainali haina kutolewa zuzu wewe, ndio mwisho wa mashindano.
Yanga imeanza mwanzo mpaka mwisho, kigoma ndio mwisho wa reli.
Na kombe kabeba😁😁😁😁
Jitahidi hata ubebe viazi soko la Buguruni angalu uhame kwa shemeji
Wawapi wewe? Umesikia wimbo wa taifa ukiimbwa pale? Caf walishafuta wimbo wa taifa kwa ngazi ya klabu miaka 20 iliyopitaSina shida na mashabiki wa Yanga kuwadhihaki mashabiki wa Simba endapo Yanga ingeshinda na ningewapongeza kwa hilo maana lingeleta changamoto kwa Simba kukazana ili na wao walete kombe!
Binafsi kama ningekuwa rais wa nchi hii ningewasweka rumande wote wanaoshabikia timu pinzani kwenye mechi za kimataifa! Haiwezekani wimbo wa taifa uimbwe kabla ya mechi halafu litokee dude fulani jinga kusapoti timu pinzani! Kwangu huo ungekuwa uhujumu uchumi!
Wimbo wa taifa huimbwa katika mazingira machache muhimu kama vile rais anapotaka kuhutubia taifa na timu za mpira zinaposhiriki mechi za kimataifa! Bila shaka, kwa wakati ule, wachezaji wanaliwakilisha taifa! Wapo kwa niaba ya wananchi na kwa niaba mh rais! Kushindwa ni kumuaibisha rais na ni kuliaibisha taifa! Kama ningekukuta unashabikia rais kuaibishwa lazima ungetafuta nchi ya kwenda!
Wimbo wa taifa hauimbwi ngazi ya vilabu mkuu , unaimbwa kwa timu za taifa.Sina shida na mashabiki wa Yanga kuwadhihaki mashabiki wa Simba endapo Yanga ingeshinda na ningewapongeza kwa hilo maana lingeleta changamoto kwa Simba kukazana ili na wao walete kombe!
Binafsi kama ningekuwa rais wa nchi hii ningewasweka rumande wote wanaoshabikia timu pinzani kwenye mechi za kimataifa! Haiwezekani wimbo wa taifa uimbwe kabla ya mechi halafu litokee dude fulani jinga kusapoti timu pinzani! Kwangu huo ungekuwa uhujumu uchumi!
Wimbo wa taifa huimbwa katika mazingira machache muhimu kama vile rais anapotaka kuhutubia taifa na timu za mpira zinaposhiriki mechi za kimataifa! Bila shaka, kwa wakati ule, wachezaji wanaliwakilisha taifa! Wapo kwa niaba ya wananchi na kwa niaba mh rais! Kushindwa ni kumuaibisha rais na ni kuliaibisha taifa! Kama ningekukuta unashabikia rais kuaibishwa lazima ungetafuta nchi ya kwenda!
Hata simba na wydad yanga walitegemea simba atakufa nyingiMlitegemea Yanga kufungwa magoli kibao imekuwa tofauti!! Uliona soka Yanga imecheza jana?
Yaani wale PWAGU na PWAGUZIKwa hiyo sisi tuamini hisia zako au tuwaamini CAF?
Yaani tuwe wazalendo wakati ka premature kama ali kamwe amesema uzalendo ni kwa taifa stars?
JItahidi kaa karibu na wale watu wawili pale utopoloni
Labda kikombe cha togwa.Mkuu,kama mashabiki wa Yanga waliwapania mashabiki wa Simba endapo wangechukua kombe wangewadhihaki sana,sasa hapo unataka mashabiki wa Simba waiombee mema Yanga?
Halafu team pinzani ndio zilivyo, huwezi kukuta shabiki wa Barcelona akaiombea mema Madrid au shabiki wa Real madrid aiombee ushindi Barcelona.
Relax, ndio ushabiki ulivyo, Anyway Yanga imejitahidi sana, hope next time watachukua kombe.
Sentensi ya mwisho umeonekana ni utopolo anayelilia kikombe cha uji.Hoja kosea mtoa mada.
Mimi ni mshabiki wa Simba lkn kwakweli Yanga wametujishimisha sana kimataifa.
Simba mnajambo la kujifunza.
Hilo kombe limebebwa kwenye pikipiki au ndege?
Ni kweliHata simba na wydad yanga walitegemea simba atakufa nyingi