finn miles
Senior Member
- Dec 24, 2020
- 126
- 193
2025 sio mbali, kwaalichoropoka spika ilikua nikumsagia kunguni mama then akaomba msamaha huku akijua lengo lake limetimia akiwa nauhakika mama hatakua nalakufanya kutokana naukubwa wake.Ndugai kafanya ujinga kuomba msamaha, speaker ni mtu mzito sana
Kitendo chake cha kuomba msamaha kimempa loop hole Bi. Tozo kumdhalilisha
Je ujunbe wa Ndugai una ukweli au hauna ukweli?Yaani unalinganisha tuhuma za Rais kutaka kusababisha nchi kupigwa mnada, tena tuhuma zilizotolewa hadharani, na tuhuma za kitoto kama za akina Makamba ambazo ziliongelewa behind the scene?! Hivi kama sio uvunjaji privacy uliokuwa unafanywa na Magufuli, wewe na wenzako mngefahamu akina Makamba waliongea nini dhidi yaJPM?
Ukweli kabisa, mwanzoni hili suala niliona ujinga lakini jana baada ya kuona video ya Ndugai akizungumzia hilo suala la mikopo, unaona wazi hoja yake was more than issue ya mikopo ambayo hakuwahi hata siku moja kuizungumzia wakati wa JPM ambae alikopa sana!!
Namnukuu Ndugai
"Lakini fikiria, nyinyi ndo wasomi. Kwa mfano Mama juzi ameenda kukopa 1.3 Trillion. Deni. Na tuna majengo hivi sasa, ya madarasa, vituo vya afya, ambavyo yanajengwa, kwa tozo. Hivi ipi bora. Sisi Watanzania wa miaka 60 ya uhuru kuzidi kukopa na madeni, au tubanane banane hapa hapa tujenge wenyewe bila ya madeni haya makubwa makubwa yasiyoeleweka? Ni lini sisi tutafanya wenyewe? And how? Tutembeze bakuli? Ndiyo heshima?
Tukishakopa tunapiga makofi. Sisi wa kukopa kila siku? Tukasema pitisha tozo. Anayetaka, asiyetaka, pitisha tozo. Lazima tuanze kujenga wenyewe. Nani atatufanyia? yuko wapi huyo mjomba? Tukapitisha. Sasa 2025 mtaamua. Mkitoa waliopo, sawa; waje ambao kazi yao itakuwa kwenda kukopa.
Endapo hiyo ndo namna ya ku-run nchi. Hivi sasa deni letu ni 70 Trillion. Hivi nyie si wasomi? Is that healthy? Kuna siku nchi itapigwa mnada hii."
Sasa ukiangalia hiyo nukuu ni kwamba Ndugai karusha mawe yake kwa SSH personally na wala sio kama taasisi! Yaani SSH anaenda kuchukua mikopo isiyoeleweka inayoweza kusababisha nchi kupigwa mnada!
Sasa kwa nafasi ya Speaker, tena mbae u-spika wake umetokana na ubunge wake, nini hapo tafsiri yake kama si kwamba hakubaliani na SSH, tena kwa jambo serious!? Yaani ameonesha hadharani kwamba SSH ni rais wa ovyo! Sasa kama anajua rais ni mtu wa ovyo anayeiweka nchi kwenye rehani, busara si ilikuwa kuachia madaraka ili aendelee kupiga spana?
Ninachokiona kwa Ndugai, he's not happy na SSH, na inawezekana anaona kama SSH amepunguza nguvu aliyokuwa nayo Magu ya kuifanya Dodoma kuwa Capital City ki ukweli ukweli!
The bottom line is kuomba msamaha wasn't the best option for Job.Nadhani watu wanamiss kwanini Ndugai kaomba msamaha...si kwa sababu alikosea
AH nirudi zangu kwetu Comoro naona mambo hapa kizungu mkutiSi mtego mgumu...lakini ni mtego mkali... CCM kwa miaka yote imejitahidi sana kukwepesha na wakati mwingine kuahirisha milongas ya mihimili.
Kuanzia wakati wa Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere na mjadala wa Uafrika na Uraia wa Tanzania hadi huu wa mkopo na Tozo wa Rais Samia. Migongano iliepushwa kwa kuzungumza kichama.
Sasa hivi kichama vitu haviendi na visingefika alipofikisha Rais Samia, kukataa msamaha alioomba Ndugai. Samia angeweza kutoa kauli ya kusamehe kama aliyotoa mtangulizi wake kwa waliomkosea wakati ule (mnakumbuka ya Kinana?). Mambo yangeisha kiutu uzima kwa kupiga picha na kunywa chai.
Spika ni mtu mzito sana Kikatiba...Rais ni mzito zaidi..hawapimani. Spika hana hata chipukizi wa kumlinda na mshale..Rais anaamuru majeshi.
Lakiki Samia yuko tayari kuandika historia ya kuwa Rais aliyemlazimisha Spika wa chama chake kujiuzulu kwa jambo la mitazamo midogo yenye kutofautiana kisera? Ni kweli tunataka kumuona Ndugai anatoka lango la Ikulubakitembea anageukageuka nyuma akijifuta jasho?
Kama Rais ni taasisi na Spika ni taasisi kama ilivyo kwa Jaji Mkuu. Tusiingie mtego huu. Wa kutegua ni Samia na si Ndugai.
Hekima itatamalaki? Ya nani?
Ni kama ujumbe a Assad tuu, uliomfanya aambiwe mjengo hauwezi kufanya kazi naye sababu aliuuita mjengo ni dhaifu, ni wakati sasa umefika naye ajitathimini kwa kauli yake no matter ilikuwa nzuri au mbaya kiasi gani.Unyoka wa Ndugai uko wapi?
Ule ujumbe wake?
Hii misuguano inajenga loopholes kwa bakabaka kuingilia mtanange kama ilivyotokea zimbabwe, wawe makini sana.........wacha tusubiri hiyo cabinet reshuffle na jinsi ishu ya spika itakavyokuwa handled..........otherwise wanasiasa wanaweza kujikuta out of the game na tukaanza yale ya sudan.Ile ilikuwa kazi wale wenyeviti wa CCM mikoa waliyopewa kumpinga Ndugai ndio maana jana wakaitwa ikulu kupongezwa kwa kazi nzuri waliyoifanya.
Hapo ukiangalia vizuri utaona Samia binafsi ameshaanza kujipanga kwa 2025, ila hataki wengine wajipange, akiulizwa anakimbilia najenga nchi, huu ni uongo, anacheza na akili za wajinga.
Sasa nawashauri wote waanze kujipanga kwa 2025 hii nchi haina haja ya kuwa na Rais wala Spika, inaweza kujiendea tu, kila siku tunalia umasikini, hakuna maji safi na salama wakati hawa miaka yote wapo tu hawajui wanachofanya, bora wapigane niangalie vita yao.
Kama raia tuliungana na Asadi kumshambulia Ndugai kwa kitendo kile kwa nini isiwe sasa?Ni kama ujumbe a Assad tuu, uliomfanya aambiwe mjengo hauwezi kufanya kazi naye sababu aliuuita mjengo ni dhaifu, ni wakati sasa umefika naye ajitathimini kwa kauli yake no matter ilikuwa nzuri au mbaya kiasi gani.
Kama raia tuliungana na Asadi kumshambulia Ndugai kwa kitendo kile kwa nini isiwe sasa?
Kwa nini iwe sasa na hakufanya hivyo wakati nchi inakopa 29 t ndani ya miaka 5?.Miradi imeachwa bila kukamilika na tayari imekula matirion ya mkopo,je,itelekezwe hapo ilipo au tukope tuikamilishe ili iweze kuzalisha pesa za kulipa?.Yaani unalinganisha tuhuma za Rais kutaka kusababisha nchi kupigwa mnada, tena tuhuma zilizotolewa hadharani, na tuhuma za kitoto kama za akina Makamba ambazo ziliongelewa behind the scene?! Hivi kama sio uvunjaji privacy uliokuwa unafanywa na Magufuli, wewe na wenzako mngefahamu akina Makamba waliongea nini dhidi yaJPM?
Ukweli kabisa, mwanzoni hili suala niliona ujinga lakini jana baada ya kuona video ya Ndugai akizungumzia hilo suala la mikopo, unaona wazi hoja yake was more than issue ya mikopo ambayo hakuwahi hata siku moja kuizungumzia wakati wa JPM ambae alikopa sana!!
Namnukuu Ndugai
"Lakini fikiria, nyinyi ndo wasomi. Kwa mfano Mama juzi ameenda kukopa 1.3 Trillion. Deni. Na tuna majengo hivi sasa, ya madarasa, vituo vya afya, ambavyo yanajengwa, kwa tozo. Hivi ipi bora. Sisi Watanzania wa miaka 60 ya uhuru kuzidi kukopa na madeni, au tubanane banane hapa hapa tujenge wenyewe bila ya madeni haya makubwa makubwa yasiyoeleweka? Ni lini sisi tutafanya wenyewe? And how? Tutembeze bakuli? Ndiyo heshima?
Tukishakopa tunapiga makofi. Sisi wa kukopa kila siku? Tukasema pitisha tozo. Anayetaka, asiyetaka, pitisha tozo. Lazima tuanze kujenga wenyewe. Nani atatufanyia? yuko wapi huyo mjomba? Tukapitisha. Sasa 2025 mtaamua. Mkitoa waliopo, sawa; waje ambao kazi yao itakuwa kwenda kukopa.
Endapo hiyo ndo namna ya ku-run nchi. Hivi sasa deni letu ni 70 Trillion. Hivi nyie si wasomi? Is that healthy? Kuna siku nchi itapigwa mnada hii."
Sasa ukiangalia hiyo nukuu ni kwamba Ndugai karusha mawe yake kwa SSH personally na wala sio kama taasisi! Yaani SSH anaenda kuchukua mikopo isiyoeleweka inayoweza kusababisha nchi kupigwa mnada!
Sasa kwa nafasi ya Speaker, tena mbae u-spika wake umetokana na ubunge wake, nini hapo tafsiri yake kama si kwamba hakubaliani na SSH, tena kwa jambo serious!? Yaani ameonesha hadharani kwamba SSH ni rais wa ovyo! Sasa kama anajua rais ni mtu wa ovyo anayeiweka nchi kwenye rehani, busara si ilikuwa kuachia madaraka ili aendelee kupiga spana?
Ninachokiona kwa Ndugai, he's not happy na SSH, na inawezekana anaona kama SSH amepunguza nguvu aliyokuwa nayo Magu ya kuifanya Dodoma kuwa Capital City ki ukweli ukweli!
usirudie tena kuhusisha wananchi na hayo maugoro ya push gang.Hiyo siyo nguvu ya sukuma gang huo ni upumbavu wenu wenyewe nguvu ya sukuma gang ipo kwa wananchi na wazalendo waliopo serikalini huyo zuzu ndungai sisi atumtambui hata kidogo ,
Imani kubwa aliyonayo ndugai ni kwamba uma wa watanganyika unamkubali sana, nitakupa mfano kipindi yamependekezwa Majina kwaajili ya umakamu wa Rais, na lakwake lilikuwemo yaani mbali na Dr Phillip Mpango na Komredi AbdulRahman kinana, yeye akaamini ataupata umakamu kwasababu anakubalika zaidi kwa jamii kuliko hawa wengineUbuyu wa Babu Issa.
Wazee wa taharuki mnajifanya kuyajua mengi sana kana kwamba nyie ndo wazee wa protocals za hao viongozi.
Tulieni, subirini meza kupinduka
Kwanini?Haja ya kuwa na spika asiye na Chama ipo na haikwepeki.
Lakini tatizo kubwa sana sana ni kitu hiki TABAKA LA WATAWALA
Tuiondoe hiyo kwanza
Swali bado ni lile lile kwenu, Samia yeye hana akili ya kujia hili ni sawa hili si sawa? Kwa hiyo ikitokea siku wakamuandikia Tanzania haina raisi, atasoma tu Kama ilivyo?Huu ni mkakati wa maadui wa Samia, walianza kwakumuwekea matarakimu ya ajabu kuhusu foreign reserves za nchi ili tu aonekane kituko mbele ya umma wa waTanzania na hilo walifanikiwa kwani kosa halikusahihishwa kabla ya speech kusomwa but the damage had already been done. Ndio Ikaja hii ya Ndugai kuzungumzia mikopo na tozo , yote hiyo ikielekezwa kudiscredit credibility ya Rais kuwa hajali maisha ya wananchi kwa kubariki tozo na kukopa kopa hivyo!!
Haya yote yamepangwa ili kumdhoofisha asifanikiwe na agenda yake ya maendeleo towards uchaguzi mkuu kwani wao wana ajenda yao; it is up to Samia to act decisively kwa kuonesha kuwa sio kweli kuwa yeye ni Rais wa wananwake na sio wa wanaume!!! Kuna hiyo hoja kuwa yeye anadhani anaweza kuchaguliwa kwa kuwajali wanawake tu na kuwasideline wanaume!!! She should be in apposition to address these serious allegations through her actions.
Mkuu! Kwani hukuona Asad alivyoitwa majina mazuri mazuri kwa ujumbe wake ule?Toa ushahidi wa ulipokemea Mkuu, na sasa acha iwe kama vile, Assad wa sakata hili naye akabidhi ofisi tubakie tunaugulia moyoni, au wewe unaonaje Mkuu?
Ndugai akaze hapo hapo mpaka afukuzwe.Akikosea akajiuzuru imekula kwake milele
Mimi naona hadi sasa tatizo ni kati ya watu na sio kati ya taasisi. Wabunge wapo walivyo ... Taasisi ya ccm ipo dhidi ya Ndugai na si against bunge.Wale wabunge wana nafasi nzuri sana kwenye kuamua hili suala, ni either wapige kura ya kutokuwa na imani na Samia au kutokuwa na imani na Ndugai, kwao kuendelea kukaa kimya ni unafiki wasilete habari ya kulinda chama zaidi ya kulinda interests za nchi.
Kuwa na mihimili miwili isiyoelewana ni tatizo, kwa sababu yote hufanya kazi kwa kushirikiana, na kwa namna fulani inategemeana. Naona Samia ameaminiwa kwa kauli yake ya anajenga nchi hataki watu wamharibie, huu kwangu ni usanii tu.
Wakati yeye ndie aliekuwa wa kwanza kuwaambia wanawake wenzie 2025 ni zamu yao, kama alidhani alikuwa anapiga umbea kwenye kikao cha wanawake wenzake ajue wanaume walijua vita ndio imeshatangazwa, sasa apigane asijifiche kwenye kisingizio cha najenga nchi na kutaka kutumbua mawaziri wanaojipanga, anawaonea.
Simpendi Sana Ndugai.Ni spika wa hovyo Sana tangu tuanze kuwa na bonge la vyama vingi.Anaendesha bunge kibabe na hujaribu kuua au kuzima hoja zote asizozipenda yeye binafsi.Bunge la Ndugai limegeuka kuwa taasisi ya kubariki kila kitu kutoka serikalini na ni vigumu kulitofautisha na caucus ya Chama cha mapinduzi!!Namnukuu Ndugai
"Lakini fikiria, nyinyi ndo wasomi. Kwa mfano Mama juzi ameenda kukopa 1.3 Trillion. Deni. Na tuna majengo hivi sasa, ya madarasa, vituo vya afya, ambavyo yanajengwa, kwa tozo. Hivi ipi bora. Sisi Watanzania wa miaka 60 ya uhuru kuzidi kukopa na madeni, au tubanane banane hapa hapa tujenge wenyewe bila ya madeni haya makubwa makubwa yasiyoeleweka? Ni lini sisi tutafanya wenyewe? And how? Tutembeze bakuli? Ndiyo heshima?
Tukishakopa tunapiga makofi. Sisi wa kukopa kila siku? Tukasema pitisha tozo. Anayetaka, asiyetaka, pitisha tozo. Lazima tuanze kujenga wenyewe. Nani atatufanyia? yuko wapi huyo mjomba? Tukapitisha. Sasa 2025 mtaamua. Mkitoa waliopo, sawa; waje ambao kazi yao itakuwa kwenda kukopa.
Endapo hiyo ndo namna ya ku-run nchi. Hivi sasa deni letu ni 70 Trillion. Hivi nyie si wasomi? Is that healthy? Kuna siku nchi itapigwa mnada hii."
Sasa ukiangalia hiyo nukuu ni kwamba Ndugai karusha mawe yake kwa SSH personally na wala sio kama taasisi! Yaani SSH anaenda kuchukua mikopo isiyoeleweka inayoweza kusababisha nchi kupigwa mnada!