[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kinachofanyika ni mazingaombwe ambao wachawi wanafanya wakati wa kuzika mnaona mnamzika marehemu kumbe wanga washamchukua wanaenda kumfanyisha mikazi huko cku akitoroka huko ndyo hvyo
Walikosea hawakumkata koo, eti walimkata ulimi tyuuh lol [emoji23][emoji23][emoji23]Msukule huyo,hapo anahitaji maombi makalo ya ulinzi mana walomchukua kama bado wapo watakua wanafanya kipe wawezalo kumuua mana wanajua wataaibika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] rafiki acha dhihaka bhanaMATAGA fanyeni mpango Bwana Chato afufuke pia[emoji16][emoji16][emoji16]View attachment 2047632
🤣😂😆😅Ujinga mtupu, either hakufa au hakufufuka. Na mbona huyo mtoto amevaa kofia ya polisi na anaonekana ni mtu mzima?
Kwanza jibu swali nililo kuuliza.Kufa na kufufuka ndio premise ya mjadala
Nambie hapo nafasi ya mtoto iko wapi?
Ukishasema haiwezekani kilichokufa kikafufuka hautahitaji kujua hicho kitu kama ni mtoto au mbwa au nguruwe au kitu gani as long as ume hold premise ya hivyo vitu viwili.
Kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza. ?Unani back bite?
Havitengani viwili hivi.Kwani swala la mimi kuonyesha linategemena na wewe kukubaliana na jibu langu?
Kiswahili fasaha hiki. Tafuta katika Kamusi yoyote ya Kiswahili hukosi tamko hili.Hivi neno usuli ni kiswahili fasaha au umeandika kwa accent ya kimasai?
Huko anapokuwa hakuna muda?Kwakifupi nikwamba unapokufa time linakuwa stoped to you. Ye kafufuka na umri uleule ila kakuta dunia ishasepa kwa miaka mitano mbele
Nimecheka sana halafu unajadili Uchawi na maana nimekuwekea lakini bado uchawi ni mbinu kijana maalumu na ni elimu maalumu lazima ujifunze.Tricks haihusishi supernatural powers ni ujanja ujanja tu wakum-misdirect mtu ashindwe ku focus kwenye uhalisia wa kitu na arubunike na huo ujanja wako.
Sasa unakataa kama hukusema ni tricks ? Sasa elezea kama hilo tukio si uchawi. Ukiweza naacha kujadiliana huu mjadala.Kwanini nimeita uchawi ni trick, lengine unaweza ukafurahia ukaona nimekubaliana na maana ya uchawi ambayo wewe unaikusudia.
Hiyu alikuwamjinga ulivyo na alikuwa hajui maana ya uchawi au alikuwa anapinga kwa ajili ya maslahi yake binafsi. Kama unajua kuna mazingaombwe yale au ile ni katika aina ya uchawi.James randi alikua ni moja ya watu walioitwa wachawi (magician) na yeye hakuwahi kuwa mchawi wala kuamini uchawi.
Walio kuwa wanamuita mchawi wanajua uchawi ni nini ila yeye kwa ujinga wake alikataa,haya yapo. Halafu unakuta mtu huyo huyo alikuwa hajui maana ya uchawi.Kilichofanya watu wamuite mchawi ni zile tricks zake alisokuwa aki perfom na watu wakiwa deluded wanajikuta wanamuita mchawi.
Unauliza maswali ya kitoto na maana za uchawi nimekuwekea hapo juu.Kwa hiyo mpaka hapo nikikuambia uchawi ni tricks unaweza kukubaliana na jibu langu kua ndio hiyo maana ambayo nawewe unaikusudia isiyohusisha mambo ya supernatural powers?
Wengi huwa hawaelewi kuna sheria ya uchawi Tanzania ya mwaka 1936 the witchcraft ActUjumbe huuUCHAWI UPO SIO BURE ILA SERIKALI HAIAMINI KATIKA UCHAWI
Wengi huwa hawaelewi kuna sheria ya uchawi Tanzania ya mwaka 1936 the witchcraft ActUjumbe huuUCHAWI UPO SIO BURE ILA SERIKALI HAIAMINI KATIKA UCHAWI
Leta uzi tujue maisha ya Gamboshi afu miaka hiyo ndo hv vitu vilishamiri sana unamkumbuka dokta manyau nyau kwenye kipimdi cha EATV alikuwa anadili na hawa wachawi wanaowachukua watu kimiujizaninaye mwanangu mmoja ali escape Gamboshi, ila yeye kwa bahati alirudi mzima anaweza kuongea,humu JF kama kuna watu waliishi mkoa wa mara hasa Tarime miaka ya 2000 mwanzoni watakuja kuthibitisha comment yangu hii maana tukio hilo lilitoka hadi kwenye magazeti
yule jamaa alienda shule kama mtoto wa kawaiada tu ila wakati wa mapumziko akaokota pesa ghafla ikatokea fisi na mtu kapanda (aliona yeye tu) ile fisi ikambeba mpaka gamboshi (hela ile ilitegwa na wachawi eneo la shule)
alipofika gamboshi alikuta watu wapo uchi,wanawake wanapelekwa kufanya mapenzi na misukule ya kiume,ikipatikana ujauzito mtoto anazaliwa then anachomwa kama nyama choma then mafuta ya mtoto yanauzwa kwa wafanyabiashara matajiri
nitaandika vizuri hii comment kesho,sasa ni saa saba kasoro usiku
Unitag na mm napenda hizo storininaye mwanangu mmoja ali escape Gamboshi, ila yeye kwa bahati alirudi mzima anaweza kuongea,humu JF kama kuna watu waliishi mkoa wa mara hasa Tarime miaka ya 2000 mwanzoni watakuja kuthibitisha comment yangu hii maana tukio hilo lilitoka hadi kwenye magazeti
yule jamaa alienda shule kama mtoto wa kawaiada tu ila wakati wa mapumziko akaokota pesa ghafla ikatokea fisi na mtu kapanda (aliona yeye tu) ile fisi ikambeba mpaka gamboshi (hela ile ilitegwa na wachawi eneo la shule)
alipofika gamboshi alikuta watu wapo uchi,wanawake wanapelekwa kufanya mapenzi na misukule ya kiume,ikipatikana ujauzito mtoto anazaliwa then anachomwa kama nyama choma then mafuta ya mtoto yanauzwa kwa wafanyabiashara matajiri
nitaandika vizuri hii comment kesho,sasa ni saa saba kasoro usiku
Ulipoishia ww kuto kupitia kwenye hayo mambo ndipo wenzako wanakopitiaYalipoishia mawazo yako kutafakari vitu complex ndipo idea ya uchawi inapo anzia
Pengine hata rangi ya jibu huijuiKwanza jibu swali nililo kuuliza.
Na ulipo sema hakuna uchawi ulijua unachokiandika ?
kama lipi?Kwanini hujibu maswali ninayo kuuliza. ?
Kwa hiyo mpaka ukubali?Havitengani viwili hivi.
Kwani hauwezi kuwa na kundi linalopanga uongo na ukatangazwa na waongo!Sasa wewe mbona umeshindwa kutafakari mada rahisi sana kama hii na ukaona ya kuwa anuani ya mada na kilichomo kwenye mada ni upotoshaji na ukashindwa kujua ya kuwa mpaka jambo limetangazwa ni kwamba wapo waliojitokeza ya kuwa wanamjua huyo mtoto ndiyo maana wamethibitisha ya kuwa alifariki.
Sikutukani ila una akili ndogi sana. Huwezi kung'amua haya mambo.
Na ndio maana nimekuambia namna ambavyo wewe unau define uchawi ni tofauti sana na mimi navyo uelezea. Hata tricks nazo zinafundishwa na kuna hadi maduka yanayouza tools kwa ajili ya kutumika kwenye perfomance za magic tricks.Nimecheka sana halafu unajadili Uchawi na maana nimekuwekea lakini bado uchawi ni mbinu kijana maalumu na ni elimu maalumu lazima ujifunze.
Ebu thibitisha uhalisia wa hizo supernatural powerKingine hapa machoandila ni uhalisia hakuna ujanja ndiyo maana nimeweka maana ya Uchawi na marejeo yake.
Nani kakataa kua sikusema ni tricks?Sasa unakataa kama hukusema ni tricks ? Sasa elezea kama hilo tukio si uchawi. Ukiweza naacha kujadiliana huu mjadala.
Unaelewa james randi ndiye aliyeweka dollar milion moja kwa yeyote atakayeweza kuthibitisha uchawi upo na hakuna aliyeweza?Hiyu alikuwamjinga ulivyo na alikuwa hajui maana ya uchawi au alikuwa anapinga kwa ajili ya maslahi yake binafsi. Kama unajua kuna mazingaombwe yale au ile ni katika aina ya uchawi.
Hili ungejadili na wakristo sasaMfano wako ni kama mfano wa Wakristo wanao dai ya kuwa wao si Washirikina maisha yao yote lakini matendo yao ni ya kishirikina,ukirejea katika maana ya Ushirikina kwahiyo watu wa aina hiyo wapo unakuta miaka na mikaka wanafanya jambo lakini hawajui kama ni jambo fulani na hubisha pia.
Haya wewe unayejua uchawi thibitisha uchawi huo upoWalio kuwa wanamuita mchawi wanajua uchawi ni nini ila yeye kwa ujinga wake alikataa,haya yapo. Halafu unakuta mtu huyo huyo alikuwa hajui maana ya uchawi.
Unauliza maswali ya kitoto na maana za uchawi nimekuwekea hapo juu.