Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza. Tumia condom kwenye ndoa mkuu?Ok wazazi njooni hapa mtoe uzoefu wenu kwenye mimba za dharura. Ili vijana wajifunze ila chonde chonde uzazi wa mpango salama ni condom pekee mengine hayo unatafuta mauvimbe ya uzazi bure. Log out.
Mchana haina effectBora ungesema mchana maana usiku kucha nilikuwa nanyonyesha
Ni jambo la kawaidaKuna aunt yangu marehemu ilimkuta na uzuri ilikuwa January.......November mwaka huo huo akashusha mwingine ile alicheza faulo
Atakuwa msukuma huyu. Ila wasukuma wanazaa jamani miaka 20 mbele hii nchi watakuwa wao.Mnaharaka mno, mwambie akijifungua aweke kitanzi,asifikiri sifa kizaazaa, sikuhizi uzazi ni kifo....atakufa
Nakujua wewe ni mbishi tu!Nimeshangaa huo utafiti sijui kautoa wapi aje field aone show
Kuna hako ka hali kameingia kwa watoto wengine wanaharisha mpaka kuchubuka nenda hospital nyingine atapona tuMkuu kunyonya ashaacha mimba mama Ake amepata baada ya mtoto kuachishwa kunyonya na anatembea vizuri tu, hali yake imebadilika wiki moja hii
Sasa kama mama mimba ya kwanza kaipata akiwa na miaka 36 unategemea nn ata hapo kajitaidi.Ndio hawa wa KUIJAZA DUNIA!
Mwanzo 1:28
Ushauri wako mzuri ila umemaliza kwa upuuzi kwa kushauri aueWeka wazi mimba ni miezi mingapi
Fanya hivi
Muachishe mtoto kunyonya maziwa ya Mama
Muweke mbali na mama ake na asilale nae
Muanzishie lishe maalumu uji wa ulezi hakikisha unaweka mbegu za maboga maziwa ya ng,ombe wa kienyeji ya kimasai kabisa kama kuna shangazi au mama ake mdogo alale nae mtoto
Kama mimba changa unashauriwa itoe kama huna uwezo wa kuhudumia huyu ambaye keshakuwepi
🙌
Mm hapana aisee, wangu lazima wapishane sio chini ya miaka 3
Pole. Ulilea tu vizuri?😅😅😅ukijichanganya tu unalo suluba yake utaisimulia hadi wajukuu, mi ilinikutaga mtoto miezi 5 kitu imo, nilihenya 🙌
Vizuri tu umri ulikuwa unaruhusuPole. Ulilea tu vizuri?
Maana mtoto ana miezi mitano,halafu unabeba tena mimba..ni mtihani aisee.Vizuri tu umri ulikuwa unaruhusu
Sister unatupiga madongo,mbona hatupo hivyo tunapenda watoto wetu sanaWalau wewe una akili uangalizi wa mama kwa mtoto umepungua isitoshe huyo mtoto mbona ni mkubwa kabisa watu wanabeba mimba mtoto akiwa na miezi 3-5 wanamnyonyesha mpaka mimba ikifikisha miezi nane kasoro na mtoto hadhuriki wala nini,,
Wataalam wa jf wengi waongo wengine wamekataa mimba na kuzitelekeza huko ila humu wamo wanajifanya baba ushauri,
Kazi juu ya kazi yani bampa to bampaMaana mtoto ana miezi mitano,halafu unabeba tena mimba..ni mtihani aisee.
Wachache ndo hampo hivyoSister unatupiga madongo,mbona hatupo hivyo tunapenda watoto wetu sana
Sasa kama mtu anatumia kitanzi,sindano vijiti na vidonge vya uzazi na yupo kwenye ndoa inashindikana nini kutumia kondomu?Unaweza. Tumia condom kwenye ndoa mkuu?
Pole Mkuu,Wazazi wenzangu naombeni msaada hapo niweze kuvuka kama Kuna sayansi yoyote nisaidieni nitumie
Mtoto anaharisha, nimeenda hospital wamempa oral lakini naona hali yake kiafya inaporomoka, kula amepoteza hamu ya kula hali, muda mwingine unakuwa unashindwa ununue nini Ili ale
Nitumie mbinu gani mtoto arudi hali yake ya mwanzo