Mtoto auawa baada ya familia kushindwa kutuma Milioni 6 kwa watekaji

Mtoto auawa baada ya familia kushindwa kutuma Milioni 6 kwa watekaji

Hii nchi nini kinaendelea? Mbona usalama wa raia unakuwa mashakani?

Utekaji na MAUAJI vinazidi kushamiri.

SERIKALI yenye kila chombo na nyenzo za upelelezi na uchunguzi, how comes ishindwe kukomesha matendo haya maovu?

TanPol ijitafakari sana.

-Kaveli-
 
Hii nchi nini kinaendelea? Mbona usalama wa raia unakuwa mashakani?

Utekaji na MAUAJI vinazidi kushamiri.

SERIKALI yenye kila chombo na nyenzo za upelelezi na uchunguzi, how comes ishindwe kukomesha matendo haya maovu?

TanPol ijitafakari sana.

-Kaveli-
Hili swala tunakoelekea huko mbele tutakuwa kama Colombia
 
Back
Top Bottom