Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Good thinking, kama ule unaochezwa TanzaniaLabda walifikiria ule mchezo wa kujiteka kumbe kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good thinking, kama ule unaochezwa TanzaniaLabda walifikiria ule mchezo wa kujiteka kumbe kweli.
yawezekana.Video hio ni ya Muda mrefu sana kabla hata sa100 hajakaa kwenye kile kiti bungeni
Analindwa na mitutu ya bundukiInamaa huyo mtoto shule haendi?
Sijasema Mimi nimesikia wanasema hivyo kwa hio hapo saa100 hausiki sasa sijui ni ya kitambo kweliyawezekana.
Ila issue yao tayar ipo mahakaman
Wanasema hivyo hawa chawa smartalosema hvyo ni nani katika maelezo
AiseeSerikali kupitia vyombo vya ulinzi na usalama imeshindwa kuhakikisha usalama na uhai wa Watanzanja.
Wawajibike
INawezekana maana hamna mahala inajieleza ni ya muda ganiWanasema hivyo hawa chawa smart
Duu hata shule?Analindwa na mitutu ya bunduki
Inawezekana ni ya kitambo ila kaja kutoa kilio siku za karibuni.Sijasema Mimi nimesikia wanasema hivyo kwa hio hapo saa100 hausiki sasa sijui ni ya kitambo kweli
Hao watekaji watakubali show.Kutekana itakuwa vyanzo vya watu kupata kipato
Wahalifu wataona ahh kumbe kutekana inawezekana,ngoja tumteke mtoto wa fulani au wa familia fulani alafu tudai hela
Ova
Tanzania Rombo Kilimanjaro.Nchi gani ?
Ataendaje wakati analindwa 24/7 kama alivyoandika mdauuuInamaa huyo mtoto shule haendi?
Hakuna kutekwa kizembeSasa kama polisi ndio wanateka watu na kudai ‘Ransom money’ na kuua, inabidi kila raia awe mlinzi wa mwenzake, kila mtu akae na sime ndani kwake, polisi akija kukukamata bila mwenyekiti wa serikali ya mtaa, anapaswa kuchinjwa kama kuku! Yaani tunapambana na polisi na majambazi kwa pamoja..
Zaman wengi tulishatekwa sanaa yan maza kazinguana na dingi anatuma mtu mtaani anakuja kukunyakua anatokomea na wewe alafu anakupokea zake anatulia na wewe. Mzee anakutafuta mpaka anakuja gundua umechukuliwa na maza kashajutaaa dadeki.Labda walifikiria ule mchezo wa kujiteka kumbe kweli.
Utekaji wa sasa uko tofauti, Maza hazinguani na dingi ukichora picha ya mkuu wa wilaya halafu ukaichoma mwenyewe yaani unaichora halafu ukapiga picha kwamba unaichoma duu hapo lazima utekwe hata pyuu! PyuuZaman wengi tulishatekwa sanaa yan maza kazinguana na dingi anatuma mtu mtaani anakuja kukunyakua anatokomea na wewe alafu anakupokea zake anatulia na wewe. Mzee anakutafuta mpaka anakuja gundua umechukuliwa na maza kashajutaaa dadeki.
Colombia ndogo ya tzNchi gani ?
Kubwa tupendane tulee watoto katika misingi bora ambayo itawajenga kiimani na kimatendoUtekaji wa sasa uko tofauti, Maza hazinguani na dingi ukichora picha ya mkuu wa wilaya halafu ukaichoma mwenyewe yaani unaichora halafu ukapiga picha kwamba unaichoma duu hapo lazima utekwe hata pyuu! Pyuu
Good thinkingKubwa tupendane tulee watoto katika misingi bora ambayo itawajenga kiimani na kimatendo