Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Serikali kupitia vyombo vya ulinzi na usalama imeshindwa kuhakikisha usalama na uhai wa Watanzanja.Hali tete sana , vyombo vya vifanye juhudi za ziada .
View: https://youtu.be/6onwxmeYfDE?si=qYODv9dKxBE-9040
Watawafikia huko we ngojaAsa hv km tuko colombia tu fresh tukisikia siku mtt wa mwigulu katekwa au mjukuu wa kinana wala icwe big issue iwe kitu cha kawaida tu.
kwa mujibu wa maelezo hapo ni Rombo - TanzaniaNchi gani ?
Kile tule tutoto wanasema tuumenenepa kwa dola zetuAsa hv km tuko colombia tu fresh tukisikia siku mtt wa mwigulu katekwa au mjukuu wa kinana wala icwe big issue iwe kitu cha kawaida tu.
duh, tanzania nayo imefika hapa kama nigeria. ila binadamu wana roho mbaya kwa kweli.Hali tete sana , vyombo vya vifanye juhudi za ziada .
View: https://youtu.be/6onwxmeYfDE?si=qYODv9dKxBE-9040
Google wewee acha uzembe.Wapi
Lini
Nani
Kutekana itakuwa vyanzo vya watu kupata kipatoGoogle wewee acha uzembe.
Hili swala tunakoelekea huko mbele tutakuwa kama ColombiaHii nchi nini kinaendelea? Mbona usalama wa raia unakuwa mashakani?
Utekaji na MAUAJI vinazidi kushamiri.
SERIKALI yenye kila chombo na nyenzo za upelelezi na uchunguzi, how comes ishindwe kukomesha matendo haya maovu?
TanPol ijitafakari sana.
-Kaveli-
Ni swala la muda. Wakimaliza wa wengine wataanza kutafunana wenyeweWatawafikia huko we ngoja
Ova
Watafikiwa tu suala la muda tuNi swala la muda. Wakimaliza wa wengine wataanza kutafunana wenyewe