Mtoto auawa baada ya familia kushindwa kutuma Milioni 6 kwa watekaji

Sasa kama polisi ndio wanateka watu na kudai ‘Ransom money’ na kuua, inabidi kila raia awe mlinzi wa mwenzake, kila mtu akae na sime ndani kwake, polisi akija kukukamata bila mwenyekiti wa serikali ya mtaa, anapaswa kuchinjwa kama kuku! Yaani tunapambana na polisi na majambazi kwa pamoja..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…