Msanii Platinum Member Joined Jul 4, 2007 Posts 25,252 Reaction score 36,513 Sep 16, 2024 #81 Open school said: Msanii ukisema vyombo ya ulinzi na usalama hapo kwenye ulinzi unamaanisha jeshi kitu ambacho sio sahihi kwa sababu hiyo sio kazi yake. Vyombo vya usalama ndio hivyo vyote vinavyojulikana sana. Click to expand... Mipaka inalindwa na Jeshi. Kama polisi na TISS hawahusiki katika utekaji na mauaji ya raia, basi wauaji wanatoka nje ya mipaka. Jeshi wamelala
Open school said: Msanii ukisema vyombo ya ulinzi na usalama hapo kwenye ulinzi unamaanisha jeshi kitu ambacho sio sahihi kwa sababu hiyo sio kazi yake. Vyombo vya usalama ndio hivyo vyote vinavyojulikana sana. Click to expand... Mipaka inalindwa na Jeshi. Kama polisi na TISS hawahusiki katika utekaji na mauaji ya raia, basi wauaji wanatoka nje ya mipaka. Jeshi wamelala