Mtoto auawa baada ya familia kushindwa kutuma Milioni 6 kwa watekaji

Msanii ukisema vyombo ya ulinzi na usalama hapo kwenye ulinzi unamaanisha jeshi kitu ambacho sio sahihi kwa sababu hiyo sio kazi yake. Vyombo vya usalama ndio hivyo vyote vinavyojulikana sana.
Mipaka inalindwa na Jeshi.
Kama polisi na TISS hawahusiki katika utekaji na mauaji ya raia, basi wauaji wanatoka nje ya mipaka.

Jeshi wamelala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…