Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Shetani hana guarantee, yeye anaangalia interest yake si huyo bwana. So ikitokea offer kubwa zaid anamuweka pembenihakuna sumu itamuua mtoto pendwa, wataingilia wapi, amekabidhi hatima yake yote kwa shetani ili apate vyeo na kutawala viongozi wakubwa, ni jitu kubwa san akwenye ulimwengu wa mashetani huko hata kama anajifanya kusali na kulialia. Mungu amrehemu na kumtoa huko gizani.
Baba wa Taifa alifia wapi?
hahahahaKwani namba 3 anasemaje?
Tena Bora hata yeye Bondeni kwa Madiba tu vipi St Thomas Uingereza?Hii kanuni haija apply kwa watu wote ni "Baadhi" a.k.a wanafki wa nchi ndo Mungu anatukomeshea sauzi na india.
Sikushangai, ana uwezo na upeo mkubwa na mpana, kuliko binadam wengi sana."Extra Terrestrial"? Inawezekana, kutokana na matendo yake kwa waTanganyika.
Angalau wewe una omega 3.wameamua kumalizana wao kwa wao.
Pole sana Bashite, sijawahi kukubali daima lakini bado nitakuombea kwa Mungu apone, na uje kutuomba radhi kwa yote uliyowahi kututendea.
Tofauti na hapo wewe ni mmbeya tu. Toa ushahidi acha tantalila..Unataka nikupe wewe?
Ila Makonda akujue umetemper nae labda uwe Rais tofauti na hapo atakunyoosha na utanyooka kweli!Labda hiyo sumu iwe imesababisha multiple organ failure tofauti na hapo haiwezi kuwa lethal kihivyo atapona tu. Atahama Nchi huyo ndugu yenu.
Wataenda mafichoni lakini political careers zao zitapotea na wao vile vile.Ila Makonda akujue umetemper nae labda uwe Rais tofauti na hapo atakunyoosha na utanyooka kweli!
Makonda haogopi mtu yule yaani kichwa kile sio poa hata Samia anajua hilo!Wataenda mafichoni lakini political careers zao zitapotea na wao vile vile.
DAB maana yake nini na kwanini wanamuita hivyo ?!Dereva inaonekana kapewa sumu yuko Kwa Madiba. Ni yule wa Arusha Konda boi A.K.A DAB
Hii inaitwa ukikimbia Nchale Ukisimama Nchale. Hata kama ikitokea akatangulia bado kuna fukuto huku nyuma zito.Makonda haogopi mtu yule yaani kichwa kile sio poa hata Samia anajua hilo!
Ni hatari kubwa akifariki hata akibahatika kuwa hai ni hatari kubwa kwa waliojaribu kumwondoa!
Umeachwa njia panda mkuuNi nani huyo
Umesema hamuogopi hata Samia!Makonda haogopi mtu yule yaani kichwa kile sio poa hata Samia anajua hilo!
Ni hatari kubwa akifariki hata akibahatika kuwa hai ni hatari kubwa kwa waliojaribu kumwondoa!
Alirudi kweli, lakini si akiwa na afya tele.Huu uzi niliuona jana nikaupuuza. Mleta uzi britanicca juzi kati alileta tetesi ya kutumbuliwa kwa february na nape ikawa kwali. Sasa ukimya wa kondakta ukamfanya britanicca aibuke na tetesi.
Any way mimi naichukulia hii tetesi kama ile ya makamu wa rais dr Mpango. Alizushiwa sana. Mpaka na mishumaa ikawashwa. Mwishowe dr akarudi akiwa ns afya tele.