Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
- Thread starter
-
- #21
Napunguza ukaribu ntakuwa narud uck na wikiend sitaonekana Mara kwa Mara nahis atanisahauunadhan hayo maelezo yanamtosha baba wa mtoto? na ukizingatia ni mtu wa safari wiki nzima mke yuko mwenyewe
hakuna shidaKuna Jirani yangu ana mtoto wa miaka mitano ni wa kike.
Ni mtoto muongeaji afu ni mchangamfu Sana, tumezoeana Sana nikirudi kwenye mishe mishe au nikienda dukani lazima nibebe zawadi kwa ajili yake.
Shida mtoto ameanza kuniita baba na akiulizwa na mtu baba Yuko wapi ananionesha mimi.
Je, wakuu sio tatizo kuwa karibu na mtoto huyu nisije kuwa chanzo ndoa za watu kuvunjika
Nb: Baba yake mtoto anafanya kazi nje ya mji anakuja likizo na wikiend Mara mojamoja.
Mkuu nimekulewa SanaSisi tuliolelewa na kukulia mazingira ya kota late 80s tulifundishwa kuwa treat wazazi wa watoto majirani kama baba\mama na hadi leo hii na ukubwa wangu huu nikienda pande hizo au kubahatika kukutana na wazee hao huwaita baba/mama kwa moyo mkunjufu kabisa.
Haya mambo ya anko na anti yamekuwa yakitumika miaka hii ya 2000s kutokana na uzungu kutamalaki.
Hivyo kwa mzazi muungwana na mwenye uelewa hawezi kutilia shaka mahusiano ya wewe na huyo mto na hata mama yake pia.
Kingine kosa lipo kwa huyu jirani yako kukaa mbali na uwepo wa mwana imemjengea mtoto kukuthamini kama baba kutokana na vile unavyomjali na kuwa karibu nae.
Ushauri wangu kwako;Mkuu nimekulewa Sana
Kisima be blessed Sana mkuuUshauri wangu kwako;
Endelea kumteat friendly huyo mtoto make sioni mantiki ya kuanza kumkwepa utachangia kumuathiri kisaikolojia. Kama baba yake amefail kiasi cha mtoto kuamua kuhamishia hisia zake kwako, itakuwa sio fair kum deny ghafla pengine furaha yake akuonapo wewe inachangia mibaraka kwako!
Kingine. Jaribu kuchunguza kama hayo mahusiano yamehanikizwa na mama yake, ila kama ni free will mtoto kaamua kukupenda tu, basi usimuangushe na hata baba yake siku akinote ukaribu wako na mwanae usishangae mtoto ndo akatoa utambulisho mzuri zaidi hata kabla ya wewe kujieleza.
Babab mtoto hajakutongoza kweli? Ebu kuwa mkweli usificheUmenikumbusha kitu.
Nilikuwa kila nikienda kanisani nina tabia y kukaa eneo lile lile ninalopendelea kukaa.
Sasa kwa upande wa pili kuna couple moja wana bint yao. Kila wakifika kanisani mtoto ananililia. Ninamchukua nakaa naye hadi ibada inaisha. Yule mtoto sasa hivi ana miaka mitatu na tabia yake ni hiyo hiyo. Wakija kanisani ananitafuta anakuja kukaa na mimi hadi ibada inaisha ndiyo wanamchukua na hapo kananililia kweli kanataka kuondoka na mimi.
Hapo ningekuwa mwanaume nahisi ndoa ya watu ingekuwa mashakani.
Ah mzee kam nakuona karibuni unapewa mbususu ujilei kilaini.Kuna Jirani yangu ana mtoto wa miaka mitano ni wa kike.
Ni mtoto muongeaji afu ni mchangamfu Sana, tumezoeana Sana nikirudi kwenye mishe mishe au nikienda dukani lazima nibebe zawadi kwa ajili yake.
Shida mtoto ameanza kuniita baba na akiulizwa na mtu baba Yuko wapi ananionesha mimi.
Je, wakuu sio tatizo kuwa karibu na mtoto huyu nisije kuwa chanzo ndoa za watu kuvunjika
Nb: Baba yake mtoto anafanya kazi nje ya mji anakuja likizo na wikiend Mara mojamoja.
Mama wa mtoto ni mtu anaye jiheshimu Sana na ni mpole so siwezi kula mbususu.Ah mzee kam nakuona karibuni unapewa mbususu ujilei kilaini.
Usituangushe msela...ipelekee moto hiyo mbususu kisawasawa
Wewe alikudanganya nani kujiheshimu kanazidiwa na genye? Huyo hapo wee kaa nae karibu tuu utashangaa siku unapewa mbususu sasa simamia ukucha mpaka huyo mumeo asaulike. Utashangaa ukipiga show anaachana na mume wake na hivi dogo tayari anakuita baba basi mambo rahisi kabisa.Mama wa mtoto ni mtu anaye jiheshimu Sana na ni mpole so siwezi kula mbususu.
Kwani Mama yake anasemajee?Kuna Jirani yangu ana mtoto wa miaka mitano ni wa kike.
Ni mtoto muongeaji afu ni mchangamfu Sana, tumezoeana Sana nikirudi kwenye mishe mishe au nikienda dukani lazima nibebe zawadi kwa ajili yake.
Shida mtoto ameanza kuniita baba na akiulizwa na mtu baba Yuko wapi ananionesha mimi.
Je, wakuu sio tatizo kuwa karibu na mtoto huyu nisije kuwa chanzo ndoa za watu kuvunjika
Nb: Baba yake mtoto anafanya kazi nje ya mji anakuja likizo na wikiend Mara mojamoja.
Mkuu kesi za kifo hizo,sio mtu wa mbususu Sana namchukulia kawaida Japo ni mzuri age yake 27 hivWewe alikudanganya nani kujiheshimu kanazidiwa na genye? Huyo hapo wee kaa nae karibu tuu utashangaa siku unapewa mbususu sasa simamia ukucha mpaka huyo mumeo asaulike. Utashangaa ukipiga show anaachana na mume wake na hivi dogo tayari anakuita baba basi mambo rahisi kabisa.
Na ukipewa mbususu jaza na mimba kabisaaaaa usikosee
Mama yake tulifahamiana baada ya mtoto kuwa karibu na mm Ila tunaongea Mara chache sanaKwani Mama yake anasemajee?
Ah sasa ndio mtamu huyo...yaani prime age for cheating hapo ni suala la wee kuwa karibu na dogo vizadi kama vyote na siku nyingine mpendogo zawadi ya mama yake ampelekee.Mkuu kesi za kifo hizo,sio mtu wa mbususu Sana namchukulia kawaida Japo ni mzuri age yake 27 hiv
😂😂😂😂Nitakupaka wese ,wewe lete dhobi hunijui vyema
...na hizo sababu tatu axitaje kuanzia ya mwisho kwenda ya kwanzaHapo umeyakanyaga mzee, ngoja mumewe arudi utatakiwa umpe sababu tatu za kwanini mwanae anakuita baba...