Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,215
- 3,035
- Thread starter
- #81
Nko bize na harakati zangu mkuu siwaz hayo ya vijana wa ovyoSawa mkuu ila hizo ni mbinu zitumikazo na wenye pigo hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nko bize na harakati zangu mkuu siwaz hayo ya vijana wa ovyoSawa mkuu ila hizo ni mbinu zitumikazo na wenye pigo hizo
Nko smart kweny life la watu sinaga Hisia za ovyovy au nyeg zisizo na limitAnasema yeye hana nia hiyo
Nko bize na harakati zangu mkuu siwaz hayo ya vijana wa ovyo
Hongera mkuuNko smart kweny life la watu sinaga Hisia za ovyovy au nyeg zisizo na limit
mwambie ukiniita anko ndo nakupa zawadi, vinginevyo katakuita baba mbele ya baba yake, hapo ndo tutaanza kutafuta ndugu zako wasafirishe mwili.
Unazngua [emoji1787]Chezea vizawadi wewe, utaitwa majina mazuri huyo mtoto kakuita baba, angekuwa mtu mzima, honey, darling.
Ww Kam mm tu pale Ninako keti Mara zote ndio huwa naketi Muda wote nijapo kanisani nikimkuta mtu kakah Kam Ni kijana kijana bas namnyanyua namuelekeze sehemu nyingine ya yey kwenda kuketi Mara zote wananielewa jusi nimlitoa kabint aliyeniwai kuketi ,kimara korogwe ,na Sasa ilazo Ebenezer ddm. Zote nafanya hvyoUmenikumbusha kitu.
Nilikuwa kila nikienda kanisani nina tabia y kukaa eneo lile lile ninalopendelea kukaa.
Sasa kwa upande wa pili kuna couple moja wana bint yao. Kila wakifika kanisani mtoto ananililia. Ninamchukua nakaa naye hadi ibada inaisha. Yule mtoto sasa hivi ana miaka mitatu na tabia yake ni hiyo hiyo. Wakija kanisani ananitafuta anakuja kukaa na mimi hadi ibada inaisha ndiyo wanamchukua na hapo kananililia kweli kanataka kuondoka na mimi.
Hapo ningekuwa mwanaume nahisi ndoa ya watu ingekuwa mashakani.
Unajikuta ukikaa sehemu nyingine kama vile hupati amani ya moyoWw Kam mm tu pale Ninako keti Mara zote ndio huwa naketi Muda wote nijapo kanisani nikimkuta mtu kakah Kam Ni kijana kijana bas namnyanyua namuelekeze sehemu nyingine ya yey kwenda kuketi Mara zote wananielewa jusi nimlitoa kabint aliyeniwai kuketi ,kimara korogwe ,na Sasa ilazo Ebenezer ddm. Zote nafanya hvyo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Fact mkuu na mtoto anajua huyu mzuri na mbayaHuyo ni soulmate wako, angekuwa mkubwa kma ww ungeishi nae kma mke na mume,mambo yenu yangeenda poa.
vijivizawadi vinavutia [emoji16]Unazngua [emoji1787]