Mwananchi B
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 1,885
- 4,131
Kama ni katoto ka kike acha kabisa mazoea nako.
Siku hizi kuna upuuzi Sana unaibuka kupitia hawa watoto.
Siku hizi kuna upuuzi Sana unaibuka kupitia hawa watoto.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haujaeleza yoteKuna Jirani yangu ana mtoto wa miaka mitano ni wa kike.
Ni mtoto muongeaji afu ni mchangamfu Sana, tumezoeana Sana nikirudi kwenye mishe mishe au nikienda dukani lazima nibebe zawadi kwa ajili yake.
Shida mtoto ameanza kuniita baba na akiulizwa na mtu baba Yuko wapi ananionesha mimi.
Je, wakuu sio tatizo kuwa karibu na mtoto huyu nisije kuwa chanzo ndoa za watu kuvunjika
Nb: Baba yake mtoto anafanya kazi nje ya mji anakuja likizo na wikiend Mara mojamoja.
Anza kuweka mashaidi hii kesi n nzitoHuyu mtoto alinizoea ata kabla ya kuanza kumpa zawadi,nahisi nyota zimeendana na ananiona mtu powa kwake.
Mkuu asante sana umenikumbusha mbali sana, zamani mimi nilijua watu wote pale kijijini ni ndugu zetu tuna maana ilikuwa baba(tata),bamdogo,bamkubwa,shangazi,babu na bibi.Sisi tuliolelewa na kukulia mazingira ya kota late 80s tulifundishwa kuwa treat wazazi wa watoto majirani kama baba\mama na hadi leo hii na ukubwa wangu huu nikienda pande hizo au kubahatika kukutana na wazee hao huwaita baba/mama kwa moyo mkunjufu kabisa.
Haya mambo ya anko na anti yamekuwa yakitumika miaka hii ya 2000s kutokana na uzungu kutamalaki.
Hivyo kwa mzazi muungwana na mwenye uelewa hawezi kutilia shaka mahusiano ya wewe na huyo mto na hata mama yake pia.
Kingine kosa lipo kwa huyu jirani yako kukaa mbali na uwepo wa mwana imemjengea mtoto kukuthamini kama baba kutokana na vile unavyomjali na kuwa karibu nae.
Mkuu ntafanya hivoBila shaka mkuu haujawahi kukutana na misahara kama hiyo aise, mfundishe/mwambie akuite anko vinginevyo ratiba za maisha yako zitabadilika kwa kipindi kifupi.
Ntaleta mrejesho mkuuLolote litakalitokea huko mbeleni utatufahamisha
😂😂😂😂😂😂😂Halafu zote ni za hovyo hovyo tu..haka ni katoto kamemaliza Shule kamekosa kazi,kanakaa kwenye Sofa la Shemeji yake na kuanzidha Vithd JF.
1.Kumbe Kuna Wana Jf wananifuatilia sikujua Hilo.😂[emoji38][emoji38][emoji38]
Maana kila thread ya mada za kijinga sijui niite hivyo lazima nikute ni yeye. Na kajiunga tu mwaka jana, mpaka huu mwaka uishe servers zitakua zimejaa balaa
Kuna time ni nyota tu zinaenda,ata sis tukiwa wadog Kuna mabrother zetu tuliwapenda kuwa nao krbDaah, mimi wako watoto wawili, wote mabinti, yaani wakiniona tu kanisani huwa wanakuja mbio kunikumbatia na hawataki kukaa na mama zao, mmoja hadi aliandika jina langu shule kama baba yake, waalimu ilibidi kumpigia mama yake kuuliza! Bahati nzuri mama aliachana na baba ila mawasiliano ya kulea mtoto yapo, hakuna na wala hayatakuwepo mahusiano yoyote na mama mtoto!
Imeisha hiyo 😂😂 mbinu ni kumpenda mtotoTulosoma Cuba tushaelewaa
Sinaga pigo hizo Wala mbinu za hivo mtoto alianza yey kunielewa.Imeisha hiyo 😂😂 mbinu ni kumpenda mtoto
Sawa mkuu ila hizo ni mbinu zitumikazo na wenye pigo hizoSinaga pigo hizo Wala mbinu za hivo mtoto alianza yey kunielewa.
Tunajua sanaaImeisha hiyo 😂😂 mbinu ni kumpenda mtoto
Anasema yeye hana nia hiyoTunajua sanaa