JITU BANDIA
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,868
- 6,453
Hawasahau watotoNapunguza ukaribu ntakuwa narud uck na wikiend sitaonekana Mara kwa Mara nahis atanisahau
๐๐๐๐คMwanakulifind mwanakuliget ๐
Mkuu sio Mimi huyoWewe nakujua mweusi mweusi mrefu ,nakulia timing nikufumue rinda
Hatua gani iliyobaki hebu nisanue mkuuUlitaka amuite nani baba sasa!? Kama sio wewe!? Wakati majukumu yote aliyopaswa kuyatimiza baba....wewe tayari unamtimizia!
Ni wakati wa wewe tu kumalizia ile hatua iliyobaki!
Ambayo wengi kweli huwa tunaitamani....
Ili uitwe baba kikwelikweli! Na si baba swalehe
๐ค๐ค๐คMkuu kula mbususu ya mama yake.
Wenzio walianza kama wewe๐ ๐Mama wa mtoto ni mtu anaye jiheshimu Sana na ni mpole so siwezi kula mbususu.
๐๐Wenzio walianza kama wewe๐ ๐
Hapana hata namba ya simu hajaniomba. Mke wake ni mzuri na wanapendana. Mahusiano yao yana furaha.Babab mtoto hajakutongoza kweli? Ebu kuwa mkweli usifiche
Ya i wee na uzuri wako unasema kuwa mke wa jjamaa mzuri basi huyo mke pisi kali kweli kweliHapana hata namba ya simu hajaniomba. Mke wake ni mzuri na wanapendana. Mahusiano yao yana furaha.
Ni mzuri haswa. Halafu wanaendana.Ya i wee na uzuri wako unasema kuwa mke wa jjamaa mzuri basi huyo mke pisi kali kweli kweli
Halafu zote ni za hovyo hovyo tu..haka ni katoto kamemaliza Shule kamekosa kazi,kanakaa kwenye Sofa la Shemeji yake na kuanzidha Vithd JF.Nje ya mada
Kwa siku kwani unaanzisha threads ngapi mkuu?
Halafu zote ni za hovyo hovyo tu..haka ni katoto kamemaliza Shule kamekosa kazi,kanakaa kwenye Sofa la Shemeji yake na kuanzidha Vithd JF.