Mtoto wa Jirani amezoea kuniita baba

Kama ni katoto ka kike acha kabisa mazoea nako.

Siku hizi kuna upuuzi Sana unaibuka kupitia hawa watoto.
 
Haujaeleza yote
Tuambie mara ngapi unasneak kwao kumsalimia mama ake?

Sisi watu wazima humu, tutaficha siri.

Au siyo Depal ?
 
Daah, mimi wako watoto wawili, wote mabinti, yaani wakiniona tu kanisani huwa wanakuja mbio kunikumbatia na hawataki kukaa na mama zao, mmoja hadi aliandika jina langu shule kama baba yake, waalimu ilibidi kumpigia mama yake kuuliza! Bahati nzuri mama aliachana na baba ila mawasiliano ya kulea mtoto yapo, hakuna na wala hayatakuwepo mahusiano yoyote na mama mtoto!
 
Hizo habari nishazipata kwa taarifa yako..kwanini unajipendekeza kwa mwanangu?

Nikija hapo mtaani sitokuacha salama..seriously
 
Mkuu asante sana umenikumbusha mbali sana, zamani mimi nilijua watu wote pale kijijini ni ndugu zetu tuna maana ilikuwa baba(tata),bamdogo,bamkubwa,shangazi,babu na bibi.
Baada ya kuwa mkubwa ndo nikaelewa
Kwa kesi ya mwenzetu kulingana na mazingira ni pagumu kidogo kwakweli,baba angekuwepo sawa
 
Halafu zote ni za hovyo hovyo tu..haka ni katoto kamemaliza Shule kamekosa kazi,kanakaa kwenye Sofa la Shemeji yake na kuanzidha Vithd JF.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Shemeji Dada anakuita
 
[emoji38][emoji38][emoji38]
Maana kila thread ya mada za kijinga sijui niite hivyo lazima nikute ni yeye. Na kajiunga tu mwaka jana, mpaka huu mwaka uishe servers zitakua zimejaa balaa
1.Kumbe Kuna Wana Jf wananifuatilia sikujua Hilo.πŸ˜‚
2.Npo Jf tokea mwaka 2015 Ila kujiunga nimejiunga mwaka Jana kuwa na ID.
3.Acheni makasiriko tumejuana Jf kwa id fake so relax
 
Kuna time ni nyota tu zinaenda,ata sis tukiwa wadog Kuna mabrother zetu tuliwapenda kuwa nao krb
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…