How old are u?Wakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.
Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja
Elimu nzuri ni gharama wakuu.
Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.
Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.
Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k
Elimu nzuri ni gharama.
Kwa nini usiwachukue wewe hao div 3,4,0 halafu uwafundishe waje kupata div 1?Wachukue walipata division 3 halafu wawafundishe wapate one wote ndio nitaona walimu wako vizuri. Ila mnachukua wote vipanga halafu mnajisifia m.afundisha.
Halafu haohao wakienda vyuo vya serikali wanakua hawana maajabu sababu wamezoea spoon feeding ambazo vyuoni hamna vitu kama hivyo.
Ni aibu kwakweliHuwa nachukia sana kuona watu wakiziita shule zetu za serikali St. Kayumba na wakati wengi wetu hizo ndiyo shule zilizotulea kwenye elimu ya msingi.
Halafu Sasa huko kwenye hizo shule zao wanazolipa ada mamilioni watoto wao wakitoka huko hawana Cha ajabu chochote wanachokuja nacho zaidi ya kuongea kingereza Kwa kujiamini pamoja na kudeka.
Yaani ni kama vile wanaendaga kununua kingereza Kwa mamilioni ya pesa.
Yaani hakuna innovation skills zozote wanazokuwa nazo hao watoto wao Wala creativity ya aina yoyote, sana sana tu wanawaimbia Hawa wazazi wao nyimbo za father X-mass na kuwatafsiria Nini kinachosemwa na mtangazaji wa CNN.
Hawa wengi waokitutumua na EM za 1,2,3m ambao muda wa ada ukifika wanapata stress hawawezi kupeleka mtoto akasone nje baada ya A level. Hawa wanaishia kugombea hela ya HESLB kama waliotoka Kayumba tu. Tena kwasababu walisota kusomesha wanakuwa wakali kweli wakipata boom asilimia ndogo.Umejuaje kama atakwenda UDSM? Mzazi wake anaweza kumpeleka chuo kingine nje ya nchi.
Tukutane udsmFinally UDSM.
Tangu lini mfanya biashara wakajua thamani ya shule mzee, watoto wanasoma nakutoboa ni watoto hawa wakimaskini IQ kubwq shule hizi hizi za kata tunapambana kibishi tunakutana nao kwenye makorido ya vyuo vikuu na badae kwenye maofisi tunagonga nao cheersKusema ukweli ambao Huwa wanasifia shule za serikali Huwa nawaona kama matahira na mazezeta.Mtu yeyote mwenye uwezo huwezi kumkuta mtoto wake kwenye hizo shule.Mfano mtoto wa mfanyabiashara mkubwa kama mo dewj,gsm,mkurugenzi,afisa elimu,mkuu wa wilaya na mkoa ,waziri na rais huwezi kumkuta mtoto wake anasoma hizo shule japo kuwa wewe kapuku anakuhamasisha upeleke mtoto wake huko.Umasikini tu ndiyo huwafanya wajinga wajifariji kuwa shule za kayumba ni nzuri.
Yaani mfanyabiashara hajui thamani ya elimu?labda kama unaongelea wachuuzi ambao Bado mitaji Yao haijawa mikubwa.mfanyabiashara anayejitambua anamsomesha mwanawe ili aje kuendeleza zaidi biashara ili kufikia kiwango cha kimataifa na siyo kuajiriwa ili ulipwe ujira wa milioni Moja au mbili.wanaotafuta ajira hizi za laki saba ,milioni au milioni mbili ndiyo hao Sasa wanaotokea kayumba schoolsTangu lini mfanya biashara wakajua thamani ya shule mzee, watoto wanasoma nakutoboa ni watoto hawa wakimaskini IQ kubwq shule hizi hizi za kata tunapambana kibishi tunakutana nao kwenye makorido ya vyuo vikuu na badae kwenye maofisi tunagonga nao cheers
mTangu lini mfanya biashara wakajua thamani ya shule mzee, watoto wanasoma nakutoboa ni watoto hawa wakimaskini IQ kubwq shule hizi hizi za kata tunapambana kibishi tunakutana nao kwenye makorido ya vyuo vikuu na badae kwenye maofisi tunagonga nao cheers
Wadogo zako primary wanasoma English medium, baada ya hapo ni Serikalini.Wadogo zangu wanasoma wapi?
Mkuu umeelezea vizuri sana, hapa LIKUD amepigwa KONiliwahi kwenda pale Agha Khan Primary School, ipo jirani na shule za Zanaki, Olympio na Diamond.
Umasikini ni mbaya tena ni laana, ee Mungu Baba tutoe huku. Wale watoto ukiwatazama wooote unawaona wamenawiri, wana afya, ngozi nyeusi ina mafuta mafuta yenye kupendeza.
Watoto wadogo wameshiba vizuri, uniform imekaa penyewe, imemtight vizuri. Vifungo vya shati vimebana, kiatu cheusi na soksi nyeupeee.
Hakuna mtoto asiyechana nywele, hakuna mtoto akiongea anarusha mate. Watoto wanacheza kistaarabu, muda wa kutoka pale nje hakuna bajaj au boda hata moja inayosubir kumchukua mtoto, nje kuna prado, harrier, benz, alphard n.k hizi IST, Raum, Rumion ambazo sisi tunatambazo nazo basi pale ndo gari za kwenda kuchukulia watoto.
Ukikaa pale kwa lisaa tu hakika utachukia hizi shule zetu za Kayumba. Walimu wapo smart, hakuna mwalimu kavaa kata K, hakuna mwalimu anayevaa suluari za malinda au zile suluari za karume za elfu tatu tatu sijui elfu nne.
Ee Mungu utusaidie.
Ni sawa lakin huo sio mfumo sahihi wa maleziNdo maana ya kuletwa hela sasa, it's capitalism bro
Tukubali dunia imebadilika sio kila kitu utafanya wewe mzazi na haushindi 24hr na mtoto wako, toa hela watafill gape ambayo kwa namna fulani hutaifill
Mpango wako kama wa kwangu tu.Wadogo zako primary wanasoma English medium, baada ya hapo ni Serikalini.
Usishangae, huwa tunakua na sababu zetu wazazi kama ambavyo na wewe utakua na sababu zako. Mfano mpango wangu ni kama wako ila sababu zetu zinaweza kuwa tofauti kabisaaMpango wako kama wa kwangu tu.
Primary pekee ndio watasoma e.medium
Nina rafiki yangu primary alisoma Alpha sekondari akasomeshwa Benjamin ilinishangaza sana.
Na kula ukoko cafeteria ,na kutongozwa na kugongwa na miamba kutoka saint kayumba kishojuFinally UDSM.
Na kula ukoko cafeteria ,na kutongozwa na kugongwa na miamba kutoka saint kayumba kishoju
Mm pia Binti yangu kang'oa div 1 point 10 matokeo ya form 2 na yupo kayumba secondary schoolWakuu this is the first time nashuhudia kijana wa kaka yangu anafanya maajabu kama haya.
Kiufupi nimefurahi sana huyu angekuwa st kayumba sijui kama angepata hata A moja
Elimu nzuri ni gharama wakuu.
Kila mwaka inatoka mil 5 Ila matunda ni mazuri.
Ukiachana na hilo anaongea kiingereza Kama kiswahili.
Anajiamini
Anachambua mambo makubwa politics ,n.k
Elimu nzuri ni gharama.
Mtu aliyefaulu Kwa kukariri atakuaje sawa na mtu mwenye uelewa ?Mm pia Binti yangu kang'oa div 1 point 10 matokeo ya form 2 na yupo kayumba secondary school
Mh rudia research yako Kaka .Watoto ambao mnawasomesha st kayumba hawaajiriki hilo mpia msisahau.