Mtoto wa kaka yangu wa kwanza (First born) amebamiza 'A' za kutosha za darasa la nne mpaka nimeogopa sana, tutafute pesa Elimu nzuri ni gharama

Mtoto wa kaka yangu wa kwanza (First born) amebamiza 'A' za kutosha za darasa la nne mpaka nimeogopa sana, tutafute pesa Elimu nzuri ni gharama

Ukutee kwake Million 50 ni sawa na million 1 tu.Tutafutenii pesaaa,nilishikaa daftari la Dogo mmja Form 3 sikuu mojaa anasoma shulee ya Kataa,Dah Bureee ni sumuu.
Mbona hukubali ukweli kwamba watakutana Mtaani wote na bahasha ua CV kutafita Kazi Mshahara laki 5??
Mbona hili unalikwepa?
 
Basi tusiongee sana, Me naomba mimi na wewe tufanye live meeting kila mtu aoneshe design yake walau moja halafu tucheki flaws
How can you compete on a match that you already won? Sina cha ku proove kwako ila ni ukweli usiopingika kwamba hapo UDSM hakuna mitambo ya kisasa ya kuwafunzia wanafunzi , syllabus zenu ni theory based practical ni zero .
 
How can you compete on a match that you already won? Sina cha ku proove kwako ila ni ukweli usiopingika kwamba hapo UDSM hakuna mitambo ya kisasa ya kuwafunzia wanafunzi , syllabus zenu ni theory based practical ni zero .
It's not competition neither a match! It's a challenge,
Unajiamini unafanya design, na unaamini practical skills zako ni nzuri kuliko Alumni yeyote wa UDSM let's just call it a friendly duet then.
Hizo za kusema practical zero, mitambo hakuna ndo stori za kahawa nsizozitaka mimi.
 
Back
Top Bottom