Yaani mwanaume atafute Hela ili awaridhidheHhahhaha...tunamwomba mapema kbs ampe talaka bibie..maana siku y bdy nilicheka san shilole alivyokuwa amenuna dah wanaume tafuteni tu hela jaman! Shilole[emoji119][emoji119]
Hahah ujumbe wa miaka ya 2000's huo usha expire siku hizi.
lukuvi apande abood?? mbona una akili fupi hivyoKwamba Lukuvi na familia yake ni mwendo wa kupanda abood free tu.
Mtoto wa Mwenye Precision air alioa mtoto wa Basil Mramba.
Mtoto wa Kimei alioa mtoto wa mwenye Victoria petrol stations
Na Uchebe alimuoa Shilole.
Kila mtu na Level zake.
dodge
Mbona inaonekana iko cheap Sana hiyo sherehe
Hahah ngoja niwakutanishe wakuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa kweli ila itabidi tukaanze kutega Mingo maeneo flani na sisi akina mwajuma ndala ndefu tuonekane
Sent using Jamii Forums mobile app
Maoni yangu ni piiiiiiiiiiiiip!! Pipiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiip!!Bw. William Lukuvi hakuweza kuzificha chuki zake dhidi ya Wazanzibari, Waarabu na Waisilamu. Alizumgumza maneno yaliyojaa chuki dhidi yao wala hakuna chombo chochote mpaka hii leo kilicho mkemea kwa maneno yake yaliojaa chuki za wazi kabisa. Nini matokeo ya chuki zake kwa hao nilio wataja? Mtoto wake ameolewa na Mzanzibari, Mwarabu na Musilamu. Maana yake mtoto wake wa kike ameikana dini ya baba yake (ukiristo) na kuingia katika dini ya Uislam. Alhamdulillah hivi ndivyo Mungu anavyojibu.undefinedNini maoni yako?
Nilisha wahi kukutana na mtoto wa Kikwete Manhattan State, nyie endeleeni kukutana na kina mwajuma soko LA mburahatiIssue ni mahali pa kukutania mkuu,wakina sie tutakutana nao wapi hao!labda JF unaweza kubahatisha...
Kwani kanzu ndiyo dini? BTW Kimsingi mke anatakiwa amfuate mumewe maana ndiye kiongozi wake (hii inapendeza hasa kama mume anajua majukumu na wajibu wake)Lakini si unaona hadi mzee baba mwenyewe kapigwa kanzu?
Ndivyo ilivyo ulikuwa hujui! Wale mnaokutana club huko huko mnabebanaMtoto wa Mwenye Precision air alioa mtoto wa Basil Mramba.
Mtoto wa Kimei alioa mtoto wa mwenye Victoria petrol stations
Na Uchebe alimuoa Shilole.
Kila mtu na Level zake.
dodge
Lukuvi anavyowachukia waislam sijui amelipokeaje hilo