Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,935
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani kuna dangote mmoja duniani?Kwani mtu akijiita DANGOTE hapa JF anakua Dangote kweli? [emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
hivi nyerere ana influence gani kwenye ukatoliki?Wakati wa Bunge la Katiba alipita makanisani na kusema serikali tatu zanzibar itakua nchi yakiislam.Haya sasa wajukuu zake wataitwa Mohammed.
Lukuvi Mkapa Magufuli wapo kimaslahi ya kanisa katoliki.Watoto wa nyerere hao
Kibibi Cha Mnyaz Mungu nataka nikuoe unasemajeUpo Coco Beach unauliza baharini wapi?
Mavazi tu, jibu tayari.
Hapo kwa Uchebe na kila mtu na level zake ndio umeeleweka vizuri.Mtoto wa Mwenye Precision air alioa mtoto wa Basil Mramba.
Mtoto wa Kimei alioa mtoto wa mwenye Victoria petrol stations
Na Uchebe alimuoa Shilole.
Kila mtu na Level zake.
dodge
Naona amepata linyanyamkala 😆Segito umetuletea semegi mwarabu
Mkuu kwani Uchebe ni mpishi?Mtoto wa Mwenye Precision air alioa mtoto wa Basil Mramba.
Mtoto wa Kimei alioa mtoto wa mwenye Victoria petrol stations
Na Uchebe alimuoa Shilole.
Kila mtu na Level zake.
dodge
Mbona huyo binti amekaa wakati wenzake wamesimama? Hakuna heshima hapo!Sijui nani alofuata dini ya mwenziwe au kama wameoana bomaniView attachment 1330401
Harusi ya Matajiri lakini inamuonekano wakimasikini...Kuanzia mavazi mapaka ukumbi...Sijui nani alofuata dini ya mwenziwe au kama wameoana bomaniView attachment 1330401
Acha ubaguzi mbona makapuku wanachumbia kwa matajiri na wanakubaliwa? Tabia zetu njema zitawaleta tu[emoji23][emoji23]mtaolewa na makapuku wenzenu ili mpigane mizinga vizuri... just joking [emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Shilole anakwenda mjengoni Uchebe ajiandae
Kama hio mifano mingine haikueleweka then kuna shida sehemu.Hapo kwa Uchebe na kila mtu na level zake ndio umeeleweka vizuri.