Mtoto wa Magige Nyerere afariki katika ajali ya gari Shinyanga

Ana msongo wa mawazo mkuu,mpotezee.
 
Nyerere analipwa .
Kusababisha Watanzania zaidi ya elfu 20 kufa kule Uganda pasi na sababu za msingi unadhani MUNGU atafurahia uzao wako?
ACHA chuki mkuu,Ina maana mwalimu angetuacha sisi wa mkoa wa Kagera chini ya Idd Amin! Najua utasema Nyerere alimprovoke Amin Sababu ya urafiki wa mwalimu na Obote,lakini sasa Amin alishavamia (Actus reus) na mens Rea ilikuwepo kwamba alitaka kuipora Kagera.Kama mwalimu angemuappease Amin bado Amin angetaka zaidi.Je,kosa la mwalimu liko wai hadi alipiziwe kisasi? Mautii ni mauti na hakuna kisasi
 
Pole nyingi kwa familia ya ya mwalimu nyerere, pamoja nao tuna sikitika sana!

Kwa vile uhai na umauti ni nje ya uwezo na matakwa ya kibinadamu , hatuna la zaidi ila kushukuru na kumuombea pumziko lenye amani .
 
chief ni jina lake au cheo
 
Nyerere analipwa .
Kusababisha Watanzania zaidi ya elfu 20 kufa kule Uganda pasi na sababu za msingi unadhani MUNGU atafurahia uzao wako?
😭😭😭😭😭 Jaman vita ile Bora ingekua ikifikaga maadhimisho yake wasiituonyeshe kumbukumbu ya kilichotokea maana ni maumivu tu wanatups inamaana wazee walikufa kivile.
 
usiku na boda bodaa kweli mchumi rip kamanda
 
Nyerere analipwa .
Kusababisha Watanzania zaidi ya elfu 20 kufa kule Uganda pasi na sababu za msingi unadhani MUNGU atafurahia uzao wako?

Bila vita vya Kagera ungekuta Tanga ni bandari ya Uganda. Awali ya yote ulikuwa hujazaliwa unaandika vitu usivyojua tuachie sisi tuliokwenda mstari wa mbele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…