Mtoto wa Magige Nyerere afariki katika ajali ya gari Shinyanga

afadhali umjibu huyu mjinga hajui huu ukurasa wapo ambao tulikwenda mstari wa mbele yeye alikuwa hajazaliwa.ILA Watu wenye haya majina wanajulikana ni watu ambao hawakusoma upeo wao wa elimu ni mdogo sana ktokana na imani ya dini yao.
 
Hatari sana.
 
Uzingatiwe una hoja mkuu. Upo sahihi kabsa kama wamezika ukweni tena familia ya Nyerere basi mpaka waya solve kimila hayo mambo
 
Kwahiyo hii
Naayo ni habari?
Obvious Yes,
There are five elements to a good news story: Timeliness (is it happening now), significance (how many does it affect), proximity (is the story happening nearby), prominence, (is it happening to someone well known in society) and human interest (is there an emotional appeal)
 
Mimi huyo marehemu simjui na wala baba yake simjui kwahiyo kwangu sio habari
 
Kaka wa Makongoro si ni Madaraka? Huyu maagige ni kizazi ChaJulius au ndugu yake?
 
Magige Nyerere na Makongoro Nyerere ni mtu na kaka yake, alafu Magige ni mjukuu wa Julius Nyerere. Akili yangu haielewi chochote hapa, mwongozo tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…