Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Expert mtoto anapelekwa shule anasema anaenda kufanya nini cha ziadaWatoto kama hao ndo wanakuja kuwa ma genius badae yaani
Kama hataki shule fanya kama wazungu wanamchukua mtoto alafu wanamfungia ndani wanamuwekea kila kitu magari, ndege meli piki piki na vikorokoro kibaoa..
Mtoto anakua anapelekewa chakula tuu yaani yeye anaishi huko huko mpaka agundue kitu au atatoka akiwa anapenda kiti flan basi ndo watampelekq chuo cha hivo viti moja kwa moja mkuu .
Sitaki nikuaminishe kwenye ushirikina,ila Kuna mdada rafiki yangu alikuwa na shida hiyo mtoto darasa la 4 hataki shule kapiga na walimu akachoka,nikampa kushauri nenda sehemu ,mtoto sahivi anapenda shule hatari jiongeze usije PM sitoi connection ila jiongezeNi wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana
Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo
Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho
Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote
Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??
Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?
Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe
Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine
Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali
Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma
Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Ukiona Zinduna ujue Ambari yupo nyuma. Tena Mchelea mwana kulia hulia yy mwenyewekwadalili hzo anaweza kuwa zinduna kama sio zinduka.
Msijenge jamii ya hovyo, we mabaya gani ulonayo yaliyotokana na viboko ulivyochapwa??Weye mkeo anamchapa wanao naandika kisifaaaa.. Ona aibu kwa wewe kunyamaza
Nyote kwani hafahamu viboko vikaliiii ni mnamjengea mtoto mambo mabaya ya kisaikolojia huko mbeleni?
Kwanini hamwezi kuongea nao kiutulivu kujua sababu ambazo wanaogopa kuwaambia nyie wazazi?
Mmenisikitisha maana hamjui la kufanya na hasira hasara
Jiukizeni je kuna hata mmoja wenu ameenda shule kuongea na walikuwa haswa mtaambiwa yupi anaweza kumuelezea vizuri mtoto wako
Achaneni na hasira.
Mnawakomaza kwa viboko lazima ni kama kunywa chai..
Acheni kunyanyasa
Msali sanaaaa kuanzia kujiombea wazazi
Shule ni zaidi ya vitabu na mafunzo ya mwlm.tafuta mwalimu wa nyumbani mfundisheni akiwa mazingira nyumbani.
kupata elimu sio mpaka mtoto avae sare abebe begi kidumu na ufagio akae kwenye kidawati aangalie ubaoni.
Mpo na mkubwa wenu hapo nyumbani muangalie vizuri. Yeye kashaona hakuna la zaidi huko shuleni sasa ninyi mnafikiri kakosea?!Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana
Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo
Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho
Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote
Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??
Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?
Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe
Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine
Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali
Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma
Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Kwanza kwa umri huo mtoto ataona amepewa zawadi. Halafu sidhani kama kuna mzazi hata huko Ulaya atakayeweza kumudu gharama za hayo makorokoro huku akijua fika kwamba huo mradi sio endelevu kwani mtoto nunda kama huyo anaweza pia kuyakataa.Expert mtoto anapelekwa shule anasema anaenda kufanya nini cha ziada
Halafu wewe unataka awekewe makolokolo unafikir atasemaje?
Ms
Msijenge jamii ya hovyo, we mabaya gani ulonayo yaliyotokana na viboko ulivyochapwa??
Nakazia Hoja. Ndo mana duniani kote kila mahali utakuta kuna Shule (Mahali rasmi /Eneo Maalum Linalotambulika Kisheria kwa ajili ya kutolea Mafunzo.Shule ni zaidi ya vitabu na mafunzo ya mwlm.
Walisemaga 'Ukiona Elimu ni ghali basi jaribu Ujinga"Mpo na mkubwa wenu hapo nyumbani muangalie vizuri. Yeye kashaona hakuna la zaidi huko shuleni sasa ninyi mnafikiri kakosea?!
Eeee! Angejuta kuzaliwa eti?Miaka sita🤣🤣 na nilivyo na mkono mwepesi hehe
Huna kumbukumbu nyuma ya kubaibinye lkn ulichapwaSina kumbukumbu ya kubamizwa na vichapo vya mkono au fimbo au lolote la kiunyama
na adhabu nilipewa na zikaninyoosha sana tu hadi leo Amina.
Kasome uyajue
Kama ni wewe basi kaa chini jitafute.. Utaelewa tu..
kama kwel alilia akiwa tumboni alitakiwa akufie huko huko ndan ya tumbo kwa kumeza amniotic fluid.......alilia na akatoka mzima daaah huyo mpeleke hata ukrain akakae msitari wa mbele vitan huko.Ni wakiume Kazaliwa 2019 alipotimia miaka 4 nikampeleka nusary ile siku ya kwanza alivyoingia darasani akalia sana
Nikamrudisha abaki hom nikijua bado mdogo
Mwaka wa pili nikampeleka tena shule za serikali yaan chekechea navyo ni hivyo hivyo ni kulia mwanzo mwisho
Walimu wakajua tunamdekeza mama yake akapiga sana viboko lakini hajali lolote
Mwaka huu anatimiza miaka sita lakini suala la shule hataki kulisikia
Mama yake akimwambia suala la shule huwa anajibu huko shuleni kuna kipi cha zaidi??
Ni mtoto ambaye ukikaa naye unaweza hisi umekaa na mkubwa mwenzako akisimamia msimamo wake hata upige kiasi gani hubaki na msimamo huo huo, kama lissu sio muoga hata umtishe vipi?
Kama utatumia ukali kumtuma utajibiwa kwanini usiende mwenyewe
Na huyu hata siku mama yake anakaribia kujifungua ujio wake ulikuwa sio kama nilio uzoea kwa watoto wengine
Na kitu kilichoniacha mdomo wazi siku moja kabla ya kujifungua mama yake tupo tumelala tukawa tunasikia sauti ya kulia ndani ya tumbo masaa 7 mbele wife akasema tumbo linauma ndipo nikampeleka hospitali
Kitu kingine huyu mtoto huwezi mkuta anakudai njaa inauma
Ni mtu wa kukalili vitu kwa haraka sana na huwa hapendi cheza na watoto wenzake tokea utotoni kwake mpaka sasa
Kabisa , Uzi wake aliouleta na majibu yake..haishangazi mtoto wake ku behave in such a way.mtoto wa miaka sita anamshindaje?? Inashangaza Sana.Huyu mzazi ni mpumbavu majinu yake yanakuonesha ni namna Gani amemlea mtoto no wonder mtoto kuwa na matabia ya ajabu ajabu
Wazazi, Wazazi - WAZAZII!!?? Mbona wazazi wamejiweka chini (Inferior) kwa mtoto weo? Kweli ww, esp.Baba; aliamini mtoto anaweza kulia na sauti ikasikika kutoka tumboni kwa mama yake? Hapo kuna tatizo au changamoto kubwa.kama kwel alilia akiwa tumboni alitakiwa akufie huko huko ndan ya tumbo kwa kumeza amniotic fluid.......alilia na akatoka mzima daaah huyo mpeleke hata ukrain akakae msitari wa mbele vitan huko.
Hakunaga genius wa hivo. Huyo ni mgonjwa kama wagonjwa wengine.Sasa hata kama ni genius, ataishize kwenye dunia ya smartphone bila kujua kusoma
hahahahaha😂Wazazi, Wazazi - WAZAZII!!?? Mbona wazazi wamejiweka chini (Inferior) kwa mtoto weo? Kweli ww, esp.Baba; aliamini mtoto anaweza kulia na sauti ikasikika kutoka tumboni kwa mama yake? Hapo kuna tatizo au changamoto kubwa.
Mm nashauri sio apelekwe Ukreni bali Gaza.