Mtoto wa mke wangu kaniunganishia kademu kazuri balaa

Huyo ni mwanao bwana usimwite mtoto wamkewangu Mana yake nn na unashinda alipotokea ,unamanisha unaweza kummega Kama kawaida angekua wakike aise kuku na mayai

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Iko siku huyo dogo atakugongea mkeo hata kama ni mama yake, shauri yako. Huo uhuru wa namna hiyo kati ya ww na mtoto unautoa wapi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Eh!dunia inakwenda kasi jaman!
 
Ulichoandika hakiendani na kichwa cha habari hata.
 
Bonga Bar,Kinondoni hiyo. Kuna mishikaki ya nundu mujarabu sana hapo. Kwa ubavuni nasikia kuna Lodge 😋
 
Sababu unalelewa na mama yake nae anakuona ni mtoto wa nyumbani sio baba mwenye nyumba
 
Labda mama yake alimwambia huwa mkazi vizuri, sasa kaamua kutafuta evidence kwa kukupa kadem kabichi, ili ajue kama ni ulegevu wa k ya mama yake au la,ili aanze kukamulia limao
 

Boya kweli. Yaani wewe umewekewa ulinzi wa kukuchora uwapo mitaani alafu huoni.

Hapo mama kakuwekea body guard. Ukichepuka tu, taarifa mama anazo sasa nifanye eti unatoka naye tena usiku kuzuga mitaani.

Utaingia kwenye mitego yao kitahisi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…