Mtoto wa mke wangu kaniunganishia kademu kazuri balaa

Dogo anataka amtumie huyo demu kukukamua kibunda Chako baada ya kugundua we ni bahili wa kutupwa.

Nawaza tu sina ushahidi wa hili.
 

Mbona umeoa mwenye umri kama wa mama ako.ilikuwaje? maana watoto wake wanaoneonekana ni lika yako
 
Umeomba muda wa kutafakari alafu unakuja kutushirikisha, Ili yakikufika upate pa kutupia lawama??
 
Hapana wanaume huwa tunapasiana

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Dah nimecheka sana, mtego huo mkuu ila wanaume sisi ni risk taker sana
 
Hamna adabu na akili.
 
Siku akija Baba yak kumrudia Mama yao usishangae
Au michepuko wa Mama yao ukija hawatakuambia Ila watasema ni mjomba
Shirika acha tabia hizi tafuta mke mdogo u Serengeti mbaya
 
Boss siyo kila kitu ni chai namjua mtu alikuwa anapelekewa pisi kali na shemeji yake mdogo wake dada yake kabisa. Tena mwamba akiwa anagombana na mke wake jamaa ndiyo anamshauri sbemeji yake waondoke
 
Acha kuweka mazoea ya kifala na mtoto wako bablai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…