Mtoto wa mke wangu kaniunganishia kademu kazuri balaa

Kutokana na uzoefu wangu ktk hayo mambo ...kuna uwezekano wa asilimia 75 kuwa na yy ameshakakula hako kademu.
 
Unaona sasa raha ya kuoa single mother. Mtoto wake amekuwa mshikaji wako. Sasa hapo ukianza kupiga hicho kidemu huyo mkeo anageuka kuwa mama mlezi kwako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maisha haya jamani loooh
 
Bonga Bar,Kinondoni hiyo. Kuna mishikaki ya nundu mujarabu sana hapo. Kwa ubavuni nasikia kuna Lodge [emoji39]

Hiyo mishikaki ni mitamu sana sijawahi kula sehemu ingine kama hiyo
Nimekumbuka mbali sana
 
Vuta picha kuwa mtoto wako wa kumzaa anaishi na mama wa kambo na zikanoga kweli. Then mwanao anamtafutia bwana huyo mke wako ili amnyandue
 
Unaona sasa raha ya kuoa single mother. Mtoto wake amekuwa mshikaji wako. Sasa hapo ukianza kupiga hicho kidemu huyo mkeo anageuka kuwa mama mlezi kwako. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maisha haya jamani loooh
Duh
 
Weka mrejesho jinsi ulivyokararua hako kamrembo...
 
Siamini kama ni kweli, na kama ni kweli basi dunia inaenda kwa kasi sana
 

Baba
 
Siku sio nyingi kwa mwenendo huo utamla mpaka huyo mtoto wako wa kufikia wa kike, Kama hiki ulicho kieleza katika maandishi kina ukweli inadhihirisha wazi kuwa nyumba haina utamaduni wa nidhamu hekima na busara, in short hamuheshimiani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…