Priceless soul
JF-Expert Member
- Jul 4, 2017
- 1,484
- 1,732
Heko dahUnasubiri nini kumfungia nje? Mwambie asikuletee kiburi sababu utamnyoa kwa kigae tena umwambie mbele ya mama yake usiku huku ukimvuta nje wakati mvua inanyesha. Uone kama hasemi nisamehe baba. Kisha mwambie futa machozi haraka sana na nisikie kelele.
Then akinyamaza unampa adhabu ya kuamka mapema apanguse viatu vyako kabla ya shule.
Uone kama atajaribu kuuliza tena huyu ni nani. Avae kanga ya mama yako ndo baba yako mwambie.
Katoto hako ni ka ajabu sana miaka 4 kana tabia za uke wenza? Mtoto gani hapendi zawadi? Kama baba yake yupo mwambie huyo mwanamke amrudishe kwa baba yake. Mtoto umekua nae tangu mwaka sasa hiv miaka 4 kakomaa na tabia za kuzila zila? Karudishe kwa baba yake.Mama kumuelekeza mtoto akuamkie sio kosa na sio ku force, mama kumwambia mtoto huyo ndio baba yako ili akitaka kufanya kitu ajue huyo ndiye baba sio kosa, mwanaume hata muda wa kutaka kuongea na mtoto ila kama mtoto wake akitoka kazini au sehem anakuja na zawadi bado mtoto hataki hizo zawadi. Nia mbaya kwa huyo mtoto ni kama ipi mfano maana hakuna mpango wa kumuumiza au kumfanyia mtoto kitu kibaya.
Pole kaka ila usilazimishe kitu. Watoto wana akili kuliko tunavyofikiri. Endelea kuwa baba kwa mtoto huyo, hata kama haonyeshi response nzuri kwako ila nakuhakikishia ipo siku atakutambua. Endelea kuwa baba kwake kuna kitu unajenga ndani yake na majibu utayaona. Usichukulie kuwa ulezi huo ni lazima upate malipo.Kusema ukweli kuoa ma single mother kuna changamoto yeye anataka umpende mwanaye mwanaye hakupendi mama anajaribu kulazimisha ili asimtie aibu maana alimtetea kuja kukaa na ww lakini mtoto hana mood kabisa. ngumu sana
Hii ndio point.Inaonekana baba yake mzazi alikuwa anamjali sana na kumlea vizuri
Sasa anaona wewe unalazimisha kuingia sehemu ya baba yake
Kumbuka miaka 4 anaelewa vizuri kinachoendelea
Kuwa mpole na usimuite baba kwani anajua baba ni nani
Ni vizuri kama baba yake yupo ungemshawishi mkeo jamaa awe anakuja kumchukua mara moja moja
Kama hajulikani ni tatizo lingine
Ila kama yupo na uliamua kuoa single mother basi itabidi uvumilie mengi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee mna kazi, yote hayo ili tu kumrubuni mtoto wa watu!!
Hakuna ulazima wa kumwambia mtoto huyu ndiye babako kwani hata watoto wako mwenyewe huwa hawaambiwi kuwa wewe ndiye baba yao bali mtoto ujua automaticaly, mfno, mpokee baba, msalimie baba, baba yuko wapi? hii nguo umenunuliwa na baba, mwishowe mtoto ujua kuwa huyu ndiye baba.Mama kumuelekeza mtoto akuamkie sio kosa na sio ku force, mama kumwambia mtoto huyo ndio baba yako ili akitaka kufanya kitu ajue huyo ndiye baba sio kosa, mwanaume hata muda wa kutaka kuongea na mtoto ila kama mtoto wake akitoka kazini au sehem anakuja na zawadi bado mtoto hataki hizo zawadi. Nia mbaya kwa huyo mtoto ni kama ipi mfano maana hakuna mpango wa kumuumiza au kumfanyia mtoto kitu kibaya.
Katika saikoloji huwa tunasema kila jambo huwa lina sababu yakeImetokea na huwa inatokea mtoto wa mkeo hakupendi. Umeamua kuishi au kuoa mke ambaye hana kazi ana mtoto mmoja wa kike au wa kiume mwenye umri wa miaka 4 sasa mkeo anajaribu kumwambia mtoto kuwa wewe ndiye baba yake au baba wa kambo mtoto hataki na ukijaribu kuwa karibu na yeye hakubali, unamletea juice, pipi, biscuit mara kwa mara kama zawadi hataki, siku moja mkiwa wawili wewe na mkeo mama anamuuliza mbele yako huyu nani anasema hajui
Wenye uzoefu na haya mambo unafanyaje, kwanza mama hajisikii vizuri mtoto kutokuwa karibu na wewe na hataki kukusogelea ukizingatia kuwa mkeo alikwambia kuishi na mimi lazima umkubali mwanaye. Zingatia kwamba mkeo hana tena wazazi kwamba angempeleka mtoto kwa bibi yake.
Tunafanyaje kwa mfano huu.
Unajua ni makwazo kuishi na mtoto usiyeelewana naye, maana kumsomesha ni lazima mama yake atamtetea je maisha yatakuwaje na huyo mama kama mtoto hakutaki.
Unabishana na mtoa ushauri tena?Mama kumuelekeza mtoto akuamkie sio kosa na sio ku force, mama kumwambia mtoto huyo ndio baba yako ili akitaka kufanya kitu ajue huyo ndiye baba sio kosa, mwanaume hata muda wa kutaka kuongea na mtoto ila kama mtoto wake akitoka kazini au sehem anakuja na zawadi bado mtoto hataki hizo zawadi. Nia mbaya kwa huyo mtoto ni kama ipi mfano maana hakuna mpango wa kumuumiza au kumfanyia mtoto kitu kibaya.
hahahaha umenichekesha sana.... huyo mtoto anza kumcontrol wewe awe na adabu na akuheshimu...mwambie mama yake kama haiwezekani ampeleke kwa baba yake..... naziona dalili za wewe kushindwana na huyo mkeo kisa mtoto. shika kiboko huyo mtoto ni mdogo lakini ana uwezo wa kufundishika....Baba mtoto yuko hai mama mtoto hataki kumpa mwanae amkuze na hataki kabisa kuwa na mazoea naye sasa hapa mm nafanyaje nimependa mke, mke hana kazi nimeoa
hahahah jf hatari sana .. unajua watu kila leo wanashauriwa kuhusu hili jambo la viwanja vyenye mgogoro lakini ndi kwanza wana nunua...Katoto hako ni ka ajabu sana miaka 4 kana tabia za uke wenza? Mtoto gani hapendi zawadi? Kama baba yake yupo mwambie huyo mwanamke amrudishe kwa baba yake. Mtoto umekua nae tangu mwaka sasa hiv miaka 4 kakomaa na tabia za kuzila zila? Karudishe kwa baba yake.
Nb.hicho ndo kiwanja chenye mgogoro sasa.😂
Mkuu pambana na Hali yako we si ndo umeoa single maza unakubali vp inaanza mechi na moja bila
Kwamba nitaoa single maza au nitakua single fazaDunia duara,chunga maneno yako.
Hakika umenena dea, [emoji120][emoji120][emoji120]Mapenzi hayalazimishwi!!
Tatizo mnamlazimisha huyo mtoto kukupenda badala ya kumpa nafasi ya yeye kukupenda mwenyewe naturally. Sijui kwanini ila nahisi kama wewe (or who ever that is) mlikuwa na haraka sana ya kutambulishana kwa mtoto. Mlipaswa kuacha mahuasiano yenu kuwa yenu kwanza, wakati unaanzisha urafiki na mtoto bila pressure yoyote mpaka hapo baadae.
Kama mko serious na mahusiano yenu kweli, cha msingi acheni kum-force huyo mtoto kukupenda/kukukubali mara moja. Na wala usijipendekeze nae sana. Just be there as a friend & a father figure. Akionyesha kukuhitaji kwa lolote sawa, asipoonyesha pia sawa....mwishowe atakuzoea na bond itaanzia hapo. Huyo mtoto bado mdogo sana....angekuwa mkubwa ndio ingekuwa changamoto.
Swali la kizushi.....
Usikute una nia mbaya nao na mtoto can sense that alafu unatuchosha na ushauri? [emoji51][emoji51]