Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Anatakiwa Baba Akamatwe Atupwe Ndani Aje Ajibu JinaiJe Sheria ya Nchi inaruhusu mtoto wa chini ya miaka 18 kushiriki SIASA?
Anafundishwa namna ya kuja kutafuna kodi za Watoto wetu.Mtoto anafundishwa mbinu bado mapemaa
Mwigulu kajipanga kutufilisi Watanzania.
na vipi kushiriki ibada?Je Sheria ya Nchi inaruhusu mtoto wa chini ya miaka 18 kushiriki SIASA?
Siasa ni ajira kama zilivyo ajira nyingineWaziri badala ya kumsomesha mwanae Matekinolojia yeye anamuingiza kwenye siasa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kuwa ameona Siasa ni Mtaji mkubwa wa kutafuna kodi kilaiiiiniWaziri badala ya kumsomesha mwanae Matekinolojia yeye anamuingiza kwenye siasa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huko tunakoelekea siyo kwa kuingiza Watoto siasaniSiasa ni ajira kama zilivyo ajira nyingine
So
Lameck Madelu kajiongeza