Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,668
- 3,751
Naona wafujaji wanaleta dhihakaNa hapo ndiyo ule msemo usemao "Mtoto wa Nyoka ni Nyoka" unapojidhihirisha kwa Watanzania..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona wafujaji wanaleta dhihakaNa hapo ndiyo ule msemo usemao "Mtoto wa Nyoka ni Nyoka" unapojidhihirisha kwa Watanzania..
Wewe upo nyuma mkuu kwenye siasa za chama chamapinduzi ndiko fursa ziliko.Huko tunakoelekea siyo kwa kuingiza Watoto siasani
Watu wanakariri sanaHiyo teknolojia itamsaidia nn yeye
😄 huko anakoingia ndiko anakwenda kuchota tu
Ova
UVCCM DSM wanaelewa vizuri siasa za hivyoWewe upo nyuma mkuu kwenye siasa za chama chamapinduzi ndiko fursa ziliko.
Wewe nakushangaa kucha kutwa kuwatetea ccm
Subiri mtoto wa mwigulu aje akuongoze wewe na watoto wako
Vingi vi mbele!
Ninyi si mmelala!!Mtoto anafundishwa mbinu bado mapemaa
Mwigulu kajipanga kutufilisi Watanzania.
Anaitwaje?
Hii ni kuwatukana wananchi wa jimbo lake, kwamba akili zao ni sawa na mtoto
Ipo hivi! Mweshimiwa angekuwa JAMBAZI! asingetaka Mtoto wake afate nyao zake!!! Ata wewe mtoa mada lete mwanao🙏✌️. Mtoto amelelewa na ana makando kando! Acha chuki! Mungu amkuzie na amu wezeshe baby Boy awe kipenzi chake Mungu na Binadamu na Husuda za Binadamu zisimpate Kada wetu!🙏
Akina Sabaya wajao huko mbeleKamnafundishwa wanga mapema sana masikini
Ukilamba Asali ni lazima utachonga Mzinga !! 🙏🙏
Viongozi na familia zao wako juu ya sheria.Je Sheria ya Nchi inaruhusu mtoto wa chini ya miaka 18 kushiriki SIASA?
Pesa za yeye kula ziko visiwa vya Jersey Island ,huko ndio 10% za nchi hii zinawekwa,
MhhMtoto apunguze kula mikuku amenona san.