Katono Mruma
Senior Member
- Apr 13, 2018
- 131
- 84
Nisiongeze chochote.
Fuatilia ktk video.
Bahati nzuri Tanzania ni Nchi kubwa, sio kama Burundi, au Afrika ya Kati, au South Sudan. Huko kwenye vi Nchi vya hovyo hovyo unaweza kuongea hivyo, lakini Tanzania ni smart zaidi, ni kubwa zaidi na Ina watu mart. Huwezi kufanya fujo.