Mtoto wa Nyerere afukuzwa tena Butiama

Sasa huu ufukara unatokea wapi? Doooh
 
🀣
Ni huyuπŸ‘‡
View attachment 3042541
Tatizo pale ni kwamba wanafika viongozi wengi wa kitaifa. Kwa mfano wiki iliyopita nilimuona na kusalimiana na yule mdada anayeongoza Uhamiaji.
Sasa Hawa wageni wakati mwingine wanagawa hela.
Sasa katika kuzigombania hizi hela ndio mimi napata hizi kesi za kumbambikiziwa.
Naandika hii sio kuanzisha mjadala,ila kuufunga huu mjadala
 

Mpaka hapa atakayesema wewe sio Andrew basi akili yake itakuwa inafanana na wewe.
 
Endrew au Andrew
 
Kama ni yule mwenye tatizo la ukichaa ni sawa tu
 
Kawahujumu vipi hao watoto wa shule ya msingi huyo nameless?Kawachukulia vichongeo na penseli zao?
 
Anahitaji uangalizi maalum.

Ova
Uangalizi upi mtu anaweza hadi kutoroka Jwtz,anapanda bus,anasikiliza radio na hata ukiongea nae km we mwandishi ujipange.
Uzuri hagombani na mtu,ingekua wengine ungesikia 'unanijua mimi nimepigana vita kagera,mtoto wa Nyerere'
Haitaji uangalizi wowote,
Wale waliomfuata kule butiama kawatoroka ndio hao wa kumpeleka uangalizi maalum anawakimbia na anawafungulia sredi JF.
Ni kumuacha tu maisha yake ndo hayo.
Mnasema hataki kutoka kwao,
kumbe Mama hataki atoke nyumbani,
na mtoto babu nae hataki kutoka kwa mamaake amuache mpweke.
Tunae ndugu wa namna hiyo walipomchoka wakapeleka kijijini.
Walishangaa jamaa karudi home na baiskeli,ukiiona utachoka.
Aliipataje hatujui
 
Kwa sababu si ccm ndiyo maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…