DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 12,846
- 28,106
Rahisi tu watumie nyaraka zitakazorahisisha utambulisho wako kadiri utakavoweza utapata verification badgeMkuu Santos, na mimi nataka blue tick. ππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rahisi tu watumie nyaraka zitakazorahisisha utambulisho wako kadiri utakavoweza utapata verification badgeMkuu Santos, na mimi nataka blue tick. ππππππ
Mimi nimeondoka Dar Novembs,sasa ndio narudi,sasa nipo Kibaha.Poppy Hatonn
Rev. Pannasekara bado yupo hapo Buddhist Temple Mindu St. Upanga, yupo South Africa au karudi Sri Lanka?
Sasa huu ufukara unatokea wapi? DooohNyerere aliwasomesha wote na kazi walipata wote.kama watoto wa watanzan8a wengine
Sasa ukitaka Nyerere awafanyie nini tena jamani? Au watanzania tuwafanyie nini cha ziada? Walipigania uhuru ni wengi na wana watoto wao lakini hawasumbui na wansjitegemea baada ya kusoma na kuajiriwa
Hakuna mtoto wa Nyerere aliyewahi kukosa ajira
Hatariii tupuu.Nimeona nikalia sana
Tatizo pale ni kwamba wanafika viongozi wengi wa kitaifa. Kwa mfano wiki iliyopita nilimuona na kusalimiana na yule mdada anayeongoza Uhamiaji.
Kwa mara ya kwanza Leo nikuunge mkono hoja. Mwenyewe nimeshangaa sanaHuyo aliyeandika ndiyo yeye huyo mrithi wa Nyerere.
Tatizo pale ni kwamba wanafika viongozi wengi wa kitaifa. Kwa mfano wiki iliyopita nilimuona na kusalimiana na yule mdada anayeongoza Uhamiaji.
Sasa Hawa wageni wakati mwingine wanagawa hela.
Sasa katika kuzigombania hizi hela ndio mimi napata hizi kesi za kumbambikiziwa.
Naandika hii sio kuanzisha mjadala,ila kuufunga huu mjadala
Nyinyi ndio mna shida mbona jamaa anaeleza mambo vyema tu... Huyu ni jinias.Na wasiwasi huenda Andrew ndio kaandika huu uzi, his ways and style of reporting matukio iko hivi hivi, anahitaji msaada mkubwa sana..!
Kama ni yule mwenye tatizo la ukichaa ni sawa tuHii imetokea jana Jumamosi baada ya mtoto wa Nyerere kukuta askari polisi wa kituo cha Butiama wameizingira nyumba yake na kuweka ulinzi mkali na kumzuia kuingia ndani.
Mtoto wa Nyerere ametoroka Butiama bila begi,ameondoka na nguo tu alizovaa. Sasa yupo Mwanza anasubiri kurudi Dar .
Hii imetokea jana baada ya wanakijiji kufanya mkutano chini ya mbuyu katika shule ya msingi Butiama na mtoto wa Nyerere kutuhumiwa kuwahujumu watoto wa shule ya msingi.
Naomba kuwasilisha.
KivipiAndrew π mwanangu sana
Kwa tunaomjuwa Andrew hatupati shida
Ova
Kawahujumu vipi hao watoto wa shule ya msingi huyo nameless?Kawachukulia vichongeo na penseli zao?Hii imetokea jana Jumamosi baada ya mtoto wa Nyerere kukuta askari polisi wa kituo cha Butiama wameizingira nyumba yake na kuweka ulinzi mkali na kumzuia kuingia ndani.
Mtoto wa Nyerere ametoroka Butiama bila begi,ameondoka na nguo tu alizovaa. Sasa yupo Mwanza anasubiri kurudi Dar .
Hii imetokea jana baada ya wanakijiji kufanya mkutano chini ya mbuyu katika shule ya msingi Butiama na mtoto wa Nyerere kutuhumiwa kuwahujumu watoto wa shule ya msingi.
Naomba kuwasilisha.
Uangalizi upi mtu anaweza hadi kutoroka Jwtz,anapanda bus,anasikiliza radio na hata ukiongea nae km we mwandishi ujipange.Anahitaji uangalizi maalum.
Ova
Safari njema, wellcome back!! Poppy HatonnMimi nimeondoka Dar Novembs,sasa ndio narudi,sasa nipo Kibaha.
Kuna mtoto wa nyerere ambaye bado anasoma shule ya sekondari au ni mwalimu nae?Huyo ni Andrew Nyerere, mtoto wa Mwalimu
Sasa utaanza kunisoma bila kuwa "biased", utayaelewa tu maandiko yangu.Kwa mara ya kwanza Leo nikuunge mkono hoja. Mwenyewe nimeshangaa sana
Kwa sababu si ccm ndiyo maana.Mtoto huyu wa Baba wa Taifa, atakuwa ni Andrew tuu, huyu ni issue, anapaswa kuwa handled with care. Familia zote watoto wote hawawezi kufanana, mkiisha jijua mna mtoto mmoja ambaye ni issue, watu wote wa familia wakiwemo walinzi, wanakuwa notified to be very careful during kipindi cha mwezi mpevu, anacharuka, dawa sio kumjia juu au kumuwekea vikao vya kijiji, kifamilia au kumripoti polisi, dawa is to handle him delicately with maximum care, atatulia na maisha yataendelea!.
Lakini pia kwa vile Andrew ni member mwenzetu humu, wana jf we have a duty of care kumsaidia na kuwasaidia watu kama hawa.
Mimi ni miongoni mwa self proclaimed mshauri nasaha wa kujitolea, nimeisha saidia wengi kwa ushauri wangu humu, akiwemo yule Blaza wangu aliyetagulia, naye alikuwa issue, jf tumemsaidia sana.
Andrew ni issue, tumsaidie!. Insane Anahitaji Huruma, Kusaidiwa. Sio Kulaumiwa, Kulaaniwa na Kususwa! He Needs Help, Tumsaidieje?
P