Mtoto wa Rais Samia (Wanu): Sitamani Kuonekana Mtoto wa Rais Nikiingia Mahali/Naumia Mzazi Akitukanwa

So stupid, mtoto wa, rais unaongea pumba, hapo ukute na yeye anavizia ajira, au kapachikwa sehemu,
Aache ujinga Rais kutukanwa ni kitu cha kawaida, atumie nafasi yake kusaidia wenye uhotsji, kama Hana wazo aige anavyofsnya Charlene Ruto, mtoto wa rais wa Kenya,
Huyu wa kwetu unaweza kukuta Hana hata degree moja, kikubwa anachokifsnya ni swala tano na kutunza mume tu, so pathetic
 
Rais ni taasisi hivyo urais ukiwa ni taasisi natumai muhusika kwa hivi sasa ni Dr. Samia anao wasaidizi wake wanaoandaa hotuba zake na nini cha kutekeleza na cha kutotekeleza hivyo anatakiwa kuwa makini na kikosi chake kuhakikisha kinampa taarifa sahihi na si bora liende, swala la tumpe muda miaka yote mitano halikubaliki, vinginevyo na sisi tukifeli mitihani tulewe muda! Rish aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza alipovurunda hakupewa muda na hakubisha, alipisha njia. Nirudi kwenye matusi! Haya matusi yanatumika kama fimbo ya watawala dhidi ya watawaliwa kwani huwa hatupewi huo ushahidi wa hayo matusi zaidi ya kuambiwa wanatukana huku tukishuhudia bakora za umeme zilizotumika Afrika Kusini wakati wa makaburu zikianza kutumika!
 
Mmwambie Mam,Mwajuma anaiba fedha za miradi ya maendeleo kule Moshi manispaa!
 
Kukosolewa kwa staha ni kukosoa kwa kutumia lugha ya staha na sio lugha ya kuudhi au kutukana. Somo hili la ukosoaji wa staha nililianza toka enzi za JK
P
Ifunguliwe mahakama ya maadili kushughulika mashauri ya kesi za lugha za staha na kuudhi.
 
Muuliza mother, lini atafika Lupa Tingatinga? Wananchi wanahitaji wamuone ili wampe kura
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…