Mtoto wa Rais Samia (Wanu): Sitamani Kuonekana Mtoto wa Rais Nikiingia Mahali/Naumia Mzazi Akitukanwa

Bora wewe kuna watoto wazazi wao hawajulikan walipo sababu ya mama yako Mama yako anapambana kwa kwa ajili ya familia yenu sio taifa, asha piga mnada bandari ngoja amalizie ngorongoro,
Acheni upumbavu Watanganyika, vitu vyetu vinapigwa bei na huyo Mzanzibar lakini hatuchukui hatua zozote badala yake tunaishia kwenye mitandao tu, ni bora tukapiga kimya na kama vipi tunalianzisha kama Watanganyika wa Lamadi walivyoamua kuingia front mbona easy tu.
 
Kuna ambao hii comment imewakera mpaka wanatamani wakupige short ya UMEME wa HIGH VOLTAGE ⚡ ⚡

TANZANIA NCHI YANGU😊
 
Huyu hata bila kumtambulisha anafanana sana na mh raisi
 
Kwa nini wanachama wa vyama vya siasa Marekani hawasemi Republicans/Democrats Oyeee...?
Muulize mam hili swali.
 

Attachments

  • KENYATTA.mp4
    3 MB
Na unajisikia je mzazi wako anapopora raslimali za watanganyika na kuwagawia wajomba zake na wewe kufaidika?
 
Hizo pete hizo pete hizo pete
 
Shauri mam akatae kuitwa "Chura Kiziwi’


"Deaf Frog". It's a playful phrase used to describe someone who is oblivious or doesn't seem to notice what's going on around them.
 
Kama anaumia amwambie mama yake mwakani asigombee jamani...!
Au ndio sizitaki mbichi hiziiii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…