Mtoto wa Rais Samia (Wanu): Sitamani Kuonekana Mtoto wa Rais Nikiingia Mahali/Naumia Mzazi Akitukanwa

Mtoto wa Rais Samia (Wanu): Sitamani Kuonekana Mtoto wa Rais Nikiingia Mahali/Naumia Mzazi Akitukanwa


MTOTO WA RAIS SAMIA (WANU H. AMEIR): SITAMANI KUONEKANA MTOTO WA RAIS NIKIINGIA MAHALI/NAUMIA MZAZI AKITUKANWA - MBUNGE NA MWENYEKITI MIF

"Kuna mahali naingia nafanya kazi zangu naondoka bila Watu kujua kama nilikuwa pale, lakini unapokwenda kwenye shughuli za kijamii hasa harusi kuna Watu lazima wanitambulishe kama mtoto wa Rais, ile huwa inanifanya nisiwe huru katika mazingira yale" - Mhe. Wanu Hafidh Ameir, Mbunge na Mwenyekiti wa MIF

“Inaumiza kama mtoto kuona mzazi anarushiwa maneno mitandaoni na katika kipindi ambacho muda wake wote amewekeza kwa Taifa, muda mwingi anakuwa mbali na familia, lakini ni Mtu imara sana namfahamu hajawahi kutetereka kwenye hilo” - Mhe. Wanu Hafidh Ameir, Mbunge na Mwenyekiti wa MIF

"Moja kati ya changamoto kubwa ninayokutana nayo katika uongozi wangu ni wananchi wangu pamoja na Watu wengine kuhisi naweza kufanya kila kitu kwa kigezo kwamba ni mtoto wa Rais, sio kweli kwamba naweza kufanya kila kitu na kuna wakati nazidiwa" - Mhe. Wanu Hafidh Ameir, Mbunge na Mwenyekiti wa MIF
Kuna vyama ni laana tupu ukivishabikia
 
images (11).jpeg
 
Mama yako anapambana kwa kwa ajili ya familia yenu sio taifa, asha piga mnada bandari ngoja amalizie ngorongoro,
Rais wetu anapambana kwa ajili ya Tanzania na watanzania.ndio maana anafanya kazi usiku na mchana kuhakikisha kuwa watanzania wakienda hospitalini wakute vifaa tiba,wahudumu wa afya ,madawa . Watoto wa maskini wapate elimu bure mpaka kidato cha sita na mikopo kwa wale watakao endelea na Elimu ya juu.

Mama yetu anapambana kuhakikisha kuwa wakulima wanapata mbolea za Ruzuku ili kuongeza uzalishaji na hatimaye kipato cha mtu mmoja.

Mama anapambana kuhakikisha kuwa miundombinu ya barabara inajengwa kila sehemu, usambazaji wa maji safi na salama , usambazaji wa huduma ya umeme ,ajira kwa vijana na mengine mengi sana. Ndio maana tunasema mama anatosha kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
 

MTOTO WA RAIS SAMIA (WANU H. AMEIR): SITAMANI KUONEKANA MTOTO WA RAIS NIKIINGIA MAHALI/NAUMIA MZAZI AKITUKANWA - MBUNGE NA MWENYEKITI MIF

"Kuna mahali naingia nafanya kazi zangu naondoka bila Watu kujua kama nilikuwa pale, lakini unapokwenda kwenye shughuli za kijamii hasa harusi kuna Watu lazima wanitambulishe kama mtoto wa Rais, ile huwa inanifanya nisiwe huru katika mazingira yale" - Mhe. Wanu Hafidh Ameir, Mbunge na Mwenyekiti wa MIF

“Inaumiza kama mtoto kuona mzazi anarushiwa maneno mitandaoni na katika kipindi ambacho muda wake wote amewekeza kwa Taifa, muda mwingi anakuwa mbali na familia, lakini ni Mtu imara sana namfahamu hajawahi kutetereka kwenye hilo” - Mhe. Wanu Hafidh Ameir, Mbunge na Mwenyekiti wa MIF

"Moja kati ya changamoto kubwa ninayokutana nayo katika uongozi wangu ni wananchi wangu pamoja na Watu wengine kuhisi naweza kufanya kila kitu kwa kigezo kwamba ni mtoto wa Rais, sio kweli kwamba naweza kufanya kila kitu na kuna wakati nazidiwa" - Mhe. Wanu Hafidh Ameir, Mbunge na Mwenyekiti wa MIF
Mtoto anampigia Mama Kampeni
 
“Inaumiza kama mtoto kuona mzazi anarushiwa maneno mitandaoni na katika kipindi ambacho muda wake wote amewekeza kwa Taifa, muda mwingi anakuwa mbali na familia, lakini ni Mtu imara sana namfahamu hajawahi kutetereka kwenye hilo” - Mhe. Wanu Hafidh Ameir, Mbunge na Mwenyekiti wa MIF
Amewekeza kwa taifa lipi?
 
Back
Top Bottom