Albadili hakuna chengine na ndio njia nyepesi ya kuadhibu kuliko zote
Hiyo jeuri itoke wapi?Daah,hamna hata mmoja aliyeibuka kutetea kata Yao kuitwa Kijiji,na wamo humu tele....kisa wanaogopa kuonekana hawana"Nguvu"π₯
Wewe huwa umenyooka kuliko rulaMwenzaaa chamazi sio dar ππππ
Ile wine unaleta huletiWewe huwa umenyooka kuliko rula
Nakuapia naleta 3 pamoja na faini loveIle wine unaleta huleti
hakuna.cha albadir...mnadamganyikaAlbadili hakuna chengine na ndio njia nyepesi ya kuadhibu kuliko zote
Sitaki baki na wine zakoNakuapia naleta 3 pamoja na faini love
Usinifanyie hivyo basi?Sitaki baki na wine zako
ππππ mwenyewe nasubiri jibu.Ila hao global TV mbona Wana dharau sana?yaani chamazi ni Kijiji?au Kuna Chamazi mbili hapa Dslam?
He! He! He!
Potelea mbali ilimradi lengo litimieAlbadili ni ushirikina wa kiarabu
Ipo mkuu nimeshashuhudia kwa macho yanguhakuna.cha albadir...mnadamganyika
Dada Ana siri huyu sijapentraaaHe! He! He!
Mbona ghafla familia hatujui? π€£π€£π€£π€£
Mwenyewe sijapentraaaaaaa kabisaaDada Ana siri huyu sijapentraaa