Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Yaan ubusy wa CHAMAZI mpaka mbande mpaka kisewe unazidi majiji ya Mwanza,Arusha,Mbeya,Dodoma....Ila hao global TV mbona Wana dharau sana?yaani chamazi ni Kijiji?au Kuna Chamazi mbili hapa Dslam?
Karibu shemeji nakusikiliza kwa makini kabisa shem shem wetuAhsante sana shemeji nimekaribia ila sasa shemeji nitaomba niongee na wewe maana mmhππππ
Inaumiza mnooOmba tu yasikukute ! Katika hizo harakati za kutaka kupoteza kila mtu aliyehusika unaweza kujikuta unaangukia jela maisha yako yote na usifanikishe kile ulichokitaka..
Hakuna namna ya kupambana na mabalaa omba tu usipatwe nayo
Hivi wewe hujui kama chamazi bado ni kijijini?Hebu taja huduma za kijamii, ambazo unadhani chamanzi, hazipo.
Ndiyo umejibu swali hapo, kwa jibu hilo nimekuelewa.
Karibu sana aaariririririrrrrrrrrrrrAhsante shemeji nimelaribia Haleluyah kwakweli ππππ
π€£π€£π€£π€£ Sema kweli?Kuna member huku ansitwa MNAFIKI WA KUJITEGEMEA UJUEπ
Nimeshangaa sana kupata kijijiniYaan ubusy wa CHAMAZI mpaka mbande mpaka kisewe unazidi majiji ya Mwanza,Arusha,Mbeya,Dodoma....
Maana,
Mwanza siku ya jumapili saa mbili usiku vi haice (vipanya) vinakata barabarani havionekani wakati barabara za CHAMAZI zipo busy 24/7 βΊοΈπ
Glenn njoo huku nimepata shemeji uwiiiiiiiiiKaribu sana aaariririririrrrrrrrrrrr
Harusi tunayo sie π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ
Sasa shem ngoja nifanye mpango tuonane shem shem ππππKaribu shemeji nakusikiliza kwa makini kabisa shem shem wetu
Kwani huyu ni Mwanaume au mwanamke?mbona alianza Kwa kumwita bby wako sweetheart?halafu saa hizi anakuita shemeji?Karibu shemeji nakusikiliza kwa makini kabisa shem shem wetu
Ungemlinda sana!! Labda umpeleke sayari ya PlutoKama angekuwa mwanangu na nikagundua kaingiliwa na mtu....Aiseee ningempoteza Kila aliyehusika kwa gharama yoyote Ile
Watoto wa kike wathaminiwe
Yeye nilikua na vimazoea nae vya kijing tuMpaka ukauliza mzee, yeye mwenyewe alishakubali?
Umeelewa nilichoandika?? RudiaMkuu unatembea na mtoto wa darasa la saba? Na unampeleka lodge kabisa? Au unatania mkuu [emoji3]
Si amekuita wewe sweetheart wako jamani auuKwani huyu ni Mwanaume au mwanamke?mbona alianza Kwa kumwita bby wako sweetheart?halafu saa hizi anakuita shemeji?
Sawa shemSasa shem ngoja nifanye mpango tuonane shem shem ππππ
Yaan ubusy wa CHAMAZI mpaka mbande mpaka kisewe unazidi majiji ya Mwanza,Arusha,Mbeya,Dodoma....
Maana,
Mwanza siku ya jumapili saa mbili usiku vi haice (vipanya) vinakata barabarani havionekani wakati barabara za CHAMAZI zipo busy 24/7 βΊοΈπ
Usimdharau unaweza kuta analiza watu wazima ww unamuinaje Kwan kwa kumtizama tuSasa katoto kama hako jamani kukakula!muwe na huruma basi