Umehamisha magoli
Deal na la kuvunjwa mkono bila kuombew mabaya
Corona ina macho sasa itachagua nani cdm nani ccm?
Mkuu ni kweli hili?Najua P Mayalla una lengo la kuwa expose wengi zaidi. Hujaacha kile ulichomfanyia Kabendera.
Lengo lako ni comments kama hizo zitiririke hapa upeleke file huko.
Una roho mbaya sana, ila watu tu hawakujui.
Na wewe ni mpumbavu kwa kunilisha maneno nisiyoyasema, unawaza upumbavu ndio maana unaandika upumbavu.Kama facebook kwako ni kipimo cha ujinga.. Basi wewe ndio mjinga kuliko.
Acha CCM wote wafe hata Kama na mimi nikifa fresh tu naamini kitakuja kizazi chenye akili timamu na sio akili maji wakina kabudi na polepolea comment from an idiot, kwa hiyo mbaya wako akiondoka wewe unaona utachaguliwa kubaki au mamako, babako, na ndugu zako wao watabaki kwa xbu utakuja kuchagua mbaya wako tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Najua P Mayalla una lengo la kuwa expose wengi zaidi. Hujaacha kile ulichomfanyia Kabendera.
Lengo lako ni comments kama hizo zitiririke hapa upeleke file huko.
Una roho mbaya sana, ila watu tu hawakujui.
Mods
Technicaly apigwe ban ya maisha
Sio comment nzuri ile
Mods
Technicaly apigwe ban ya maisha
Sio comment nzuri ile
Duh......... Tunaelekea gizani kwa maoni ya namna hii!Kwahiyo wew ulitakaje, serikali yako iendelee kutesa upinzani na kuwavunja mikono.. Si bora uje ili hao police na serikali yako iogope kuwashika upinzani na ipambane na corana na ikiwezekana watu Wa ccm waupate huo ugonjwa ili waache kuwatesa na kuwavunja mikono wapinzani.. Tena na wewe ulivyo mnafiki uupate ili uache unafiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini?? Ule ni mtazamo wake na ametoa sababu. Mpinge kwa hoja. Kuna watu wanatoa maoni kila siku humu kuwa wapinzani wauawe tu, na kuna walio pigwa risasi, kuuawa, kuteswa, wengine hawajulikani walipo, tayari. Mbona hujawahi kutoa ushairi wapigwe ban. Ficha upumbavu wako.