Na hapo ndio utaona utofauti wa education and intelligence,
Mwenye elimu ni yule ambaye amejifunza kutoka kwa wengine, ambapo mwenye akili anaweza kuchukua kile alichofundishwa na kukitumia kwa ubunifu,Mtu mwenye elimu anaweza kuwa na ujuzi na mambo mengi ya hakika, lakini mtu mwenye akili anaweza kuyatumia katika njia mpya ili kupata masuluhisho ya matatizo,
Elimu imefocus kwenye memorization But true intelligence lies in learning from experience,solving problems and apply knowledge,
So,elimu sio tu unaipata kwa kukaa darasani,kuna Formal education na Informal education.