Ibrahim alivunja sanamu kwenye madhabahu ya baba yake ila Mzanzibari kavunja sanamu kwenye nyumba isiyomuhusu... jua kutofautisha hizi kauli mbiliIBRAHIM alivunja masanamu.kwenye madhabahu ya baba ake ni sawa lakini huyu mzanzibari kwenda kuvunja masanamu kwenye "nyumba ya Mungu" mnaona sio sawa.
Sasa kama ni uchawi mbona, nyie ndio mnashikiliwa na majini... Na waganga wengi wanatumia vitabu vyenu na rozali zenuHilo sanamu yavunjwe mambo ya kuombewa ni ukafiri na uchawi kabisa..
Kila mtu ashinde mechi zake.
https://www.facebook.com/Sasa kama ni uchawi mbona, nyie ndio mnashikiliwa na majini... Na waganga wengi wanatumia vitabu vyenu na rozali zenu
Baada ya kufanya uharibifu huo alikamatwa na kukaguliwa begi lake kukutwa vitambulsho ikiwemo cha Taasisi ya Kupambana na Rushwa Zanzibar Anti-Corruption and Economic Crimes Authority (ZAECA) . Alikuwa anapiga kelele amerogwa na kuonesha kama ana matatizo ya akili.These expressions (more like “levels of veneration”) are traditionally known (in the original Greek) as dulia, proskynesis, hyperdulia, and latria. It should be noted that Christian theologians have long reserved the last term, latria, for the type of worship due to God alone.
Sasa Hilo Kanisa ni nyumba ya baba Yake huyo mujahidini? Angevunja mashoga ya huko ZanzibarIBRAHIM alivunja masanamu.kwenye madhabahu ya baba ake ni sawa lakini huyu mzanzibari kwenda kuvunja masanamu kwenye "nyumba ya Mungu" mnaona sio sawa.
Huyo wa Geita kaadhibiwa tayari... Na uenda alikuwa muumini wa kanisa hilo au anauhusiano nalo...https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/100064269896228/posts/782871303865192/?mibextid=VqkefZtyiaKY4pB6
Soma hapo kutwa kuletaa nyuzi za kukashifu waislamu kwani hauna kazi ,huyo mgalatia mwenzenu ...Kwanza msafishe midgo na mila zenu za kijinga
Kobaz bwana ni shida kwakweli.Mtu mmoja ambae jina lake halijafahamika amevamia Kanisa Katoliki, St. Joseph Cathedral huko Zanzibar leo asubuhi.
Mtu huyo amefanya uharibifu mbalimbali ikiwemo kuvunja sanamu kanisani hapo leo asubuhi.
View attachment 2907034View attachment 2907035View attachment 2907036
Achukuliwe hatua kali iwe fundisho kwa wengineMtu mmoja ambae jina lake halijafahamika amevamia Kanisa Katoliki, St. Joseph Cathedral huko Zanzibar leo asubuhi.
Mtu huyo amefanya uharibifu mbalimbali ikiwemo kuvunja sanamu kanisani hapo leo asubuhi.
View attachment 2907034View attachment 2907035View attachment 2907036
Kinacho tia kinyaa Wazanzibar wanasema Wabara wanaharibu tamaduni zao lakini hawalalamikii Waitaliano wanavyo watoa marinda wake kwa waume hapo visiwaniMtu mmoja ambae jina lake halijafahamika amevamia Kanisa Katoliki, St. Joseph Cathedral huko Zanzibar leo asubuhi.
Mtu huyo amefanya uharibifu mbalimbali ikiwemo kuvunja sanamu kanisani hapo leo asubuhi.
View attachment 2907034View attachment 2907035View attachment 2907036
Si mnaruhusu ushoga vunja kabisaAngalia nawe usije tiwa dole gumba unaonekana unawashwa na una joto kali.
Umekuwa na chuki kwa waislamu kila uzi ,je unapata faida gani? Nchi kubwa zote zina chuki ila wapi unapoteza muda kwansa ,rudi kaulize watu wa jamii yako wasafishe kinywa asubuhi inakera sana.Huyo wa Geita kaadhibiwa tayari... Na uenda alikuwa muumini wa kanisa hilo au anauhusiano nalo...
Lakini inashangaza kwa mtu ambaye siye dhehebu lake au dini yake kwenda kuvunja wakati havimuhusu, ukitizama hata jina lake ni la upande wa pili
Kumbe bado unaishi maisha ya kupanga chumba na sebule alafu bado kila siku kushindwa kubwabwajaHawa ndugu zetu wana chuki za waziwazi kweli... Ndio maana ugaidi na dini yao ni vitu visivyotengana.
Hapa tu kuna jirani yangu nimepanga nae, namsikia anamwambia mke wake kuwa siku atakayoenda kuombewa kanisani asikanyage hapo kwake, kwamba hawezi kuishi na makafiri chumba kimoja na lugha nyingine za ubaguzi wa dini. Mke wake ni kama anatafuta tiba ya mashetani.
Hawa ndugu zetu wanaweza kuua kisa hiyo Dini yao, yani wanafundishwa kutumikia Dini na si kutenda mema.
Acha unafiki ww mkeo au mtoto wako angetaka kwenda kwa shehe ili asomewe Rukia ungewakubalia?Hawa ndugu zetu wana chuki za waziwazi kweli... Ndio maana ugaidi na dini yao ni vitu visivyotengana.
Hapa tu kuna jirani yangu nimepanga nae, namsikia anamwambia mke wake kuwa siku atakayoenda kuombewa kanisani asikanyage hapo kwake, kwamba hawezi kuishi na makafiri chumba kimoja na lugha nyingine za ubaguzi wa dini. Mke wake ni kama anatafuta tiba ya mashetani.
Hawa ndugu zetu wanaweza kuua kisa hiyo Dini yao, yani wanafundishwa kutumikia Dini na si kutenda mema.
Mboni sanamu aliyoibomoa na yeye wanafanana? Imekuaje hapo?Mtu mmoja ambae jina lake halijafahamika amevamia Kanisa Katoliki, St. Joseph Cathedral huko Zanzibar leo asubuhi.
Mtu huyo amefanya uharibifu mbalimbali ikiwemo kuvunja sanamu kanisani hapo leo asubuhi.
View attachment 2907034View attachment 2907035View attachment 2907036
Hii sura ni kama wale wanamgambo kabisaMtu mmoja ambae jina lake halijafahamika amevamia Kanisa Katoliki, St. Joseph Cathedral huko Zanzibar leo asubuhi.
Mtu huyo amefanya uharibifu mbalimbali ikiwemo kuvunja sanamu kanisani hapo leo asubuhi.
View attachment 2907034View attachment 2907035View attachment 2907036
Kiasili muislamu lazima muislamu lazima amchukie muislamu mkristo kama mkristo anavyomchukia muislamuHawa ndugu zetu wana chuki za waziwazi kweli... Ndio maana ugaidi na dini yao ni vitu visivyotengana.
Hapa tu kuna jirani yangu nimepanga nae, namsikia anamwambia mke wake kuwa siku atakayoenda kuombewa kanisani asikanyage hapo kwake, kwamba hawezi kuishi na makafiri chumba kimoja na lugha nyingine za ubaguzi wa dini. Mke wake ni kama anatafuta tiba ya mashetani.
Hawa ndugu zetu wanaweza kuua kisa hiyo Dini yao, yani wanafundishwa kutumikia Dini na si kutenda mema.
Lakini mbona wa upande mwengine huwasikii wakifanya hayo?husikii wakichoma nyumba za wengine moto wala wakifanya mihadhara kuwatukana wengine!Ukiwa huna utimamu wa akili dini itakupelekesha sana.
Ujue tatizo ni kua hizi dini tangu mdogo unaanza kulishwa vitu, mpaka mtu anakua mtu mzima anaimbiwa kitu hicho hicho kimoja, ni ngumu sana mtu huyu kuwaza nje ya box, ni vile kuna mitandao ya kijamii la sivyo mpaka leo jamii ingekua inaamini viongozi wa dini ni watu wema wasio na maovu.