Mtu mmoja akamatwa baada ya kushambulia Kanisa Katoliki Zanzibar

Mtu mmoja akamatwa baada ya kushambulia Kanisa Katoliki Zanzibar

Mtu mmoja ambae jina lake halijafahamika amevamia Kanisa Katoliki, St. Joseph Cathedral huko Zanzibar leo asubuhi.

Mtu huyo amefanya uharibifu mbalimbali ikiwemo kuvunja sanamu kanisani hapo leo asubuhi.
View attachment 2907034View attachment 2907035View attachment 2907036
Yaani mtu badala atumie NGUVU alizo nazo kujitafutia kipato, anawaza Imani za wengine. Kwa ujumla aliyefanya hivyo ukute ni masikini tu, anatumwa Kwa mihemko ya kidini. Hapo sawa na kuinyooshea kidole familia ya mtu mwingine kwamba Kwanini wanakula ugali badala ya wali.

Anyway, Kanisa katoliki ni IMARA sana, hapo kajisumbua tu.
 
IBRAHIM alivunja masanamu.kwenye madhabahu ya baba ake ni sawa lakini huyu mzanzibari kwenda kuvunja masanamu kwenye "nyumba ya Mungu" mnaona sio sawa.
Kama Kanisa muislam wewe leo umeliona ni nyumba ya Mungu then tuseme umeshagundua kwamba msikiti ni nyumba ya shetani?

Unafiq tu
 
Lakini mbona wa upande mwengine huwasikii wakifanya hayo?husikii wakichoma nyumba za wengine moto wala wakifanya mihadhara kuwatukana wengine!

Inakuwaje kuna dini hiyo ndiyo michongo yake?hiyo dini ina nini special kiasi kuwa ni wao tu wanafanya haya mambo au ni kusema hao wengine wameshafanikiwa kutoka nje ya box?
Upo dunia gani? Wanaochoma misahafu Kila siku ni wakina nani?

Halafu uislamu ndio unaamrisha hayo au ni mtu tu na akili zake?
 
Mapendo .

Leo Asubuh saa moja kumetokea changamoto jimboni kwetu Zanzibar .

Mtu mmoja Mwenye Asiri ya kiarabu kaingia Ndani kanisani na kuanza kuvunja Sanamu kubwa iliyoko mlango mkuu kwa nje na kuanza kuipiga nyundo

Haikutosha Akaingia ndani na kuvunga sanamu ya Bikira Maria na kuvua Rozali zote ,Alipo maliza Akachukua kichwa cha Sanamu na kutaka kuondoka Nacho .

Ndipo Alipo Onekana na kulikua na watu wachache wakishirikiana na mlinzi waka Mzibiti na kupiga cm police kwa mkuu wa kituo wakaja kumchukua .

mpaka sasa yupo chini ya ulinzi kwa Mahojiano zaidi .

Tumetoka mbali sana na utume wetu Zanzibar mpaka hii leo .

Mzidi kutuombea sana ktk Utume wetu
Mungu yupo pamoja Nasi 🙏🏿🙏🏿
 
Kanisa katoliki linapitia wakati mgumu sana
IMG-20240217-WA0008.jpg
IMG-20240217-WA0004.jpg
IMG-20240217-WA0005.jpg
IMG-20240217-WA0006.jpg
IMG-20240217-WA0003.jpg
 
IBRAHIM alivunja masanamu.kwenye madhabahu ya baba ake ni sawa lakini huyu mzanzibari kwenda kuvunja masanamu kwenye "nyumba ya Mungu" mnaona sio sawa.
Alichokifanya ni uchokozi wa wazi,, hatukatai ni mzanzibari jeh ni muumini wa dini ipi?????
 
Mambo mengine ni kutafuta nongwa na watu tu,unaenda kujenga mkanisa mkubwa na kuweka askofu sehemu ambayo hao waumini wenyewe huna sana sana unatuta watu kutoka sehemu nyingine kila siku ya ibada ili ionekane mna waumini wengi wakati kiuhalisia hamna waumini hata wanaofika 200!
 
Halafu hiyo hoja ni ya kipumbavu mno


Yaani Zanzibar yenye watu million 2 inaizidi Dar es salaam Kwa kulana tigo??


Nenda telegram huko uone wabongo wanavyouza tigo

Hizo ni propaganda tu ambazo huwezi kuniongopea mzaliwa wa jiji hili
Yupo kamanda analipwa mshahara na dada'ako wa kipemba muislam mwenzako aliitisha press hapo Chukwani akawa anatoa nasaha kuwahimizeni hapo zenzibar muache kufirana

Huyo ndiye ukamwambie ana hoja za kipumbavu ila mimi nakupa fact
 
Halafu hiyo hoja ni ya kipumbavu mno


Yaani Zanzibar yenye watu million 2 inaizidi Dar es salaam Kwa kulana tigo??


Nenda telegram huko uone wabongo wanavyouza tigo

Hizo ni propaganda tu ambazo huwezi kuniongopea mzaliwa wa jiji hili
Unajua namna ya kusoma na kuzitumia data?
Jamii yenye mashoga 8 kati ya watu 20 na jamii yenye mashoga 6 kati ya watu 10 ni jamii ipi iliyoathirika zaidi?
 
Mambo mengine ni kutafuta nongwa na watu tu,unaenda kujenga mkanisa mkubwa na kuweka askofu sehemu ambayo hao waumini wenyewe huna sana sana unatuta watu kutoka sehemu nyingine kila siku ya ibada ili ionekane mna waumini wengi wakati kiuhalisia hamna waumini hata wanaofika 200!
Mbona ninakotoka mimi kuna msikiti ambao waumini hawafiki 12 lakini upo tangu nazaliwa hadi leo nazeeka na haujawahi kufanyiwa hujuma yoyote?

Ninyi mnahisi mna uspesho gani hadi wengine wasiwe na haki kama nyie?shida yenu kubwa akili kisoda.
 
Kunyimwa elimu ya darasani, inapoteza uwezo wa mtu kufikiri na kutafakari; huyu amemezeshwa mambo ya imani tu
 
Udini una sumbua sana akili za watu,
Hapo juu watu wanatoa maoni bila kujuwa dini ya mtu je, kama in mkiristo
ACHENI UDINI MNABOA.
 
Kuna dogo wa Kiume miaka 9 ni dini ya munyaazi huku Zanzibar nimemkuta kituo Cha afya inaonekana kaandikiwa sindano za kuchoma makalioni sasa akawa hataki kuchoma analia tu, yule nesi akatuomba msaada tumshike ili Tako litulie apigwe sindano, basi wakat tumemkatama tukamsusha suruali dogo akaanza kupayuka" mnaniweka uchi msinifire" daah watu wote pale tukabaki tumeduwaa hata mama yake aliingiwa na aibu mno.
Shangaa sasa dogo wa miaka 9 washaanza kumfira, ila wanavyohangaika na dini za watu na kuona dini yao ndio bora wanafiki wakubwa hao.
 
Back
Top Bottom