kekule benzene
JF-Expert Member
- Sep 28, 2016
- 1,444
- 3,576
Kwa hiyo mashoga wa Zanzibar ni wapemba na wa Dar es salaam ni wapemba?Wame-mention majina yao hao maana hata muda wa kuwasikiliza sina?
Unazungumzia mpemba Mbagala?ninao Mbezi huku wenye ndevu kama za huyo mvamia nyumba za watu za ibada ushangae mpemba kuonekana Mbagala?
Kama huna muda wa kuwasikikiza basi pita hivi maana wewe ni mbishi tu
Nimewaambia mniletee data zinazosema Zanzibar Kuna ushoga sana, mmeshindwa