Mtu mmoja akamatwa baada ya kushambulia Kanisa Katoliki Zanzibar

Mtu mmoja akamatwa baada ya kushambulia Kanisa Katoliki Zanzibar

Mtu mmoja ambae jina lake halijafahamika amevamia Kanisa Katoliki, St. Joseph Cathedral huko Zanzibar leo asubuhi.

Mtu huyo amefanya uharibifu mbalimbali ikiwemo kuvunja sanamu kanisani hapo leo asubuhi.

===
Zanzibar
Mtu mmoja aliingia katika mazingira ya kanisa maarufu la minara miwili mjini Zanzibar na kufanya uharibifu wa mali kwa kushambulia sanamu zilizopo kanisani.

Baada ya kufanya uharibifu huo alikamatwa na kukaguliwa begi lake kukutwa vitambulsho ikiwemo cha Taasisi ya Kupambana na Rushwa Zanzibar Anti-Corruption and Economic Crimes Authority (ZAECA) . Alikuwa anapiga kelele amerogwa na kuonesha kama ana matatizo ya akili.

View attachment 2907034View attachment 2907035View attachment 2907036
Kwa muonekano tu wa nje anaonekana wazi ni Al Shabaab. Ashukuru Wakatoliki siyo watu wa shari.

Ingekuwa ni Mkatoliki ndiyo kaenda kuyaondoa yale mavipaza sauti yao yanayowapigia watu kelele muda wote, ungeona vurugu zake
 
Laiti kama chuki ya waislamu juu ya Wakristo ingekuwa kwa Wakristo pia Dunia ingekuwa sio sehemu salama ya kuishi.

Wakristo ni wavumilivu sana.

NB:Kwa kuthibitisha hilo ingekuwa ndio waislamu wamefanyiwa hivyo huyo mtu angepigwa hata polisi asingefika
 
Sasa kule kwenu! Kwenu Tanganyika ndiyo maana wenye nchi yao hawawataki wanaona mnawaletea gozi gozi tu.
Kwa hiyo ni kusema ninyi waislam kitendo cha kuona tu jengo la Kanisa limesimama mahali kinakuumeni hadi mnatokwa akili na kwenda kulivunja

Aisee ninyi ni viumbe wa hovyo sana kuwahi kuishi kwenye hii dunia,nafunga mjadala na wewe
 
IBRAHIM alivunja masanamu.kwenye madhabahu ya baba ake ni sawa lakini huyu mzanzibari kwenda kuvunja masanamu kwenye "nyumba ya Mungu" mnaona sio sawa.
Likud tuache kutetea upumbavu. Mimi naishi hapa pembeni yangu kuna mtu anaabudu ng'ombe. Mimi kwangu ng'ombe ni chakula. Wife akaanza kusema huyu anaabudu ng'ombe kafir nlimuuliza kama anaabudu huyo wewe inakuathiri nini? Wewe si una imani yako? Unaiamini? Unajiamini? Una Mungu wako? Ni upumbavu kutaka watu wote kwa lazima waamini unachoamini. Watu wanapaswa kuanza kufikiria kwa akili. Uislamu wenye Shia na Sunna kuna mambo wanapishana. Wakifika hatua flani nao watabaguana na kuitana majina mabaya. Nchi maskini ina watu wenye mawazo ya kimaskini. Waachwe watu waabudu watakavyo nawe abudu utakavyo.
 
Kwa hiyo ni kusema ninyi waislam kitendo cha kuona tu jengo la Kanisa limesimama mahali kinakuumeni hadi mnatokwa akili na kwenda kulivunja

Aisee ninyi ni viumbe wa hovyo sana kuwahi kuishi kwenye hii dunia,nafunga mjadala na wewe
Bora ukalale kesho uwahi boti ya saa 12 uwahi misa unguja.
 
Mtu mmoja ambae jina lake halijafahamika amevamia Kanisa Katoliki, St. Joseph Cathedral huko Zanzibar leo asubuhi.

Mtu huyo amefanya uharibifu mbalimbali ikiwemo kuvunja sanamu kanisani hapo leo asubuhi.

===
Zanzibar
Mtu mmoja aliingia katika mazingira ya kanisa maarufu la minara miwili mjini Zanzibar na kufanya uharibifu wa mali kwa kushambulia sanamu zilizopo kanisani.

Baada ya kufanya uharibifu huo alikamatwa na kukaguliwa begi lake kukutwa vitambulsho ikiwemo cha Taasisi ya Kupambana na Rushwa Zanzibar Anti-Corruption and Economic Crimes Authority (ZAECA) . Alikuwa anapiga kelele amerogwa na kuonesha kama ana matatizo ya akili.

View attachment 2907034View attachment 2907035View attachment 2907036
Kazi nzuri kijana
 
Kazi nzuri kijana
Simpo QN tu kwanini una chuki na Wakristo au dini yako ndio imekufunza uwe na chuki na Wakristo hata wewe ukiulizwa hujui mbona Wakristo hatuna tabia za kuingia misikitini na kuleta fujo.

Ila dini inayofundisha kuua Mkristo ndio utaona ufalme wa Mungu hakika kazi ipo halafu unakuta msomi mzima kabisa naye anaishi na hii mentality hivi hamnaga muda wa kuchambua mnachohubiriwa ukiambia nenda kaue na wewe unaenda hata bila kujiuliza ninayeenda kumua kafanya nini ukiambiwa kachome kanisa nawe unaenda tu, ukiambiwa kamwagie Padri tindikali nawe unaenda tu.

Hakika hayo mahubiri yenu yana walakini
 
Mambo mengine ni kutafuta nongwa na watu tu,unaenda kujenga mkanisa mkubwa na kuweka askofu sehemu ambayo hao waumini wenyewe huna sana sana unatuta watu kutoka sehemu nyingine kila siku ya ibada ili ionekane mna waumini wengi wakati kiuhalisia hamna waumini hata wanaofika 200!
Huku Mbeya mtaani kwetu kuna msikiti ni wa zamani kuna waumini wa 4 tu
Sijui walijenga wa nini sasa🤣🤣🤣
 
Hivi kwanini wavaa kobazi wana mapepo sana ? Kama huamini we mpeleke church uone makelele yake na kuanguka,na wanapenda kolabo nao wakidai ni wazuri.
 
Back
Top Bottom