Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 1,157
- 1,983
Hivi kwanini wavaa kobazi wana mapepo sana ? Kama huamini we mpeleke church uone makelele yake na kuanguka,na wanapenda kolabo nao wakidai ni wazuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huwezi mpangia kila aishi unavyotakaHilo sanamu yavunjwe mambo ya kuombewa ni ukafiri na uchawi kabisa..
Kila mtu ashinde mechi zake.
Kavunja kivyake sasa kakamatwa na polisi wa zenji hukoSasa huwezi mpangia kila aishi unavyotaka
Hata jamiiforum inamilikiwa na mkristo kafiri
mbona hujaenda kuvunja masanamu kule kwenye temples za wahindi? kila mtu aachwe aabudu anavyoamini mradi havunji sheria na haki za wanyama na binadamu hii dunia sio ya mtu au kikundi cha watu.Kutia vurugu mahali popote hiyo hapana.
Ila kuvunja sanamu ni jambo jema. Maana hata Mungu mwenyewe anachukia masanamu ya aina yoyote yale.
😂😂😂 Ila waislam bhana wana matatizo sana ya kiakiliHaikutosha Akaingia ndani na kuvunga sanamu ya Bikira Maria na kuvua Rozali zote ,Alipo maliza Akachukua kichwa cha Sanamu na kutaka kuondoka Nacho
View: https://www.facebook.com/100064269896228/posts/782871303865192/?mibextid=VqkefZtyiaKY4pB6
Soma hapo kutwa kuletaa nyuzi za kukashifu waislamu kwani hauna kazi ,huyo mgalatia mwenzenu ...Kwanza msafishe midgo na mila zenu za kijinga
Bila shaka alipandisha majini na kuanza kuimba allahu akbar kama yake magaidi ya kule GazaIbrahim alivunja sanamu ,sema kavunja masanamu😅😅😅😅.
Vunja kabisa manasamu .
Ni njaa tuUkiwa huna utimamu wa akili dini itakupelekesha sana.
Ujue tatizo ni kua hizi dini tangu mdogo unaanza kulishwa vitu, mpaka mtu anakua mtu mzima anaimbiwa kitu hicho hicho kimoja, ni ngumu sana mtu huyu kuwaza nje ya box, ni vile kuna mitandao ya kijamii la sivyo mpaka leo jamii ingekua inaamini viongozi wa dini ni watu wema wasio na maovu.
Kwa hiyo sio Gaid?😅😁😁 Huyo wa Geita kwani ni mkatoliki? Kila Mkatoliki ni mkristo lakini sio kila mkristo ni mkatoliki.
Tulia mpakwa mafuta ,masanamu ni upagani yalivunjwa tangu enzi za IbrahimBila shaka alipandisha majini na kuanza kuimba allahu akbar kama yake magaidi ya kule Gaza
Huyo mwenzako mechi zake anaenda kuzishindia jela Sasa msije Anza kulalamika mabwanajela wanampapasa shekhe wewe makalio kumbe mwenyewe anataka wenzenu wa uamsho hayo mambo yenu ya dini hawataki hata kusikia kwa sasaHilo sanamu yavunjwe mambo ya kuombewa ni ukafiri na uchawi kabisa..
Kila mtu ashinde mechi zake.
Wenzake wa uamsho hayo mambo hawaki haya kuyasikia kwa sasaKwa hiyo sio Gaid?😅
Muulize ustadhi poti rama yule wa zenje atakwambiaUnajua namna ya kusoma na kuzitumia data?
Jamii yenye mashoga 8 kati ya watu 20 na jamii yenye mashoga 6 kati ya watu 10 ni jamii ipi iliyoathirika zaidi?
Ibrahim yupi huyo?IBRAHIM alivunja masanamu.kwenye madhabahu ya baba ake ni sawa lakini huyu mzanzibari kwenda kuvunja masanamu kwenye "nyumba ya Mungu" mnaona sio sawa.
Huyo kwa muonekano wake hata bila kujua jina lake inaonyesha ni wale akina takbir.
Uislamu ni laana, muislamu yeyote yule
View: https://www.facebook.com/100064269896228/posts/782871303865192/?mibextid=VqkefZtyiaKY4pB6
Soma hapo kutwa kuletaa nyuzi za kukashifu waislamu kwani hauna kazi ,huyo mgalatia mwenzenu ...Kwanza msafishe midgo na mila zenu za kijinga
Hujasikia wewe kwenye vyombo vya habari,kuwa wapo waliokojolea Qur'an,na waliochana misahafu,na hapo juzi India,misikiti kuvunjwa,na huko Israel misikiti kupigwa mabomu.Lakini mbona wa upande mwengine huwasikii wakifanya hayo?husikii wakichoma nyumba za wengine moto wala wakifanya mihadhara kuwatukana wengine!
Inakuwaje kuna dini hiyo ndiyo michongo yake?hiyo dini ina nini special kiasi kuwa ni wao tu wanafanya haya mambo au ni kusema hao wengine wameshafanikiwa kutoka nje ya box?
Kama ni upagani inawahusu nini?!Tulia mpakwa mafuta ,masanamu ni upagani yalivunjwa tangu enzi za Ibrahim
Ujumbe wako, sentensi ya mwisho ndo yenye MAANA.Hilo sanamu yavunjwe mambo ya kuombewa ni ukafiri na uchawi kabisa..
Kila mtu ashinde mechi zake.