Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unakula kumbikumbi?Wanatatizo gani mkuu? Kukosoa au kukataa kitu bila sababu huleta ukakasi katika jamii. Fafanua kwanini unaona hivyo?
Mbona wewe unakulaga utumbo na miguu ya kuku? Kumbikumbi na utumbo wa kuku kipi kina hadhi?Haiwezekani mtu na akili zako timamu ukala kumbi kumbi
Tupe tofauti ya kumbikumbi, senene, mende na kamba ukiacha ya baharini na nchi kavu.Haiwezekani mtu na akili zako timamu ukala kumbi kumbi
Hahaha..Haiwezekani mtu na akili zako timamu ukala kumbi kumbi
Toa reason,mbona wewe unakula nyama kwa wengine ukuona katiliHaiwezekani mtu na akili zako timamu ukala kumbi kumbi
Karibu Mkuu!Haiwezekani mtu na akili zako timamu ukala kumbi kumbi
Mbona wewe unakulaga utumbo na miguu ya kuku? Kumbikumbi na utumbo wa kuku kipi kina hadhi?
Waangalie wachina wanakula kila aina ya mdudu lakini angalia thinking capacity yao inafanana na wewe unayejifanya "una akili timamu"?
Kula roho inapenda ilimradi usione kinyaa.