Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,588
- 22,752
Dooo degree zenu HRM zinawaongezea mashauzi ndo maana hamuwezi hata kujiajiri mkipewa mtaji.Haiwezekani mtu na akili zako timamu ukala kumbi kumbi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dooo degree zenu HRM zinawaongezea mashauzi ndo maana hamuwezi hata kujiajiri mkipewa mtaji.Haiwezekani mtu na akili zako timamu ukala kumbi kumbi
Ulijuaje makande yanaliwa😅Kwanza walijuaje kama wanaliwa?
🤔
Haiwezekani mwenye mke akaacha ya nyumbani mwake na kuanza kufuatilia ya wenzkeHaiwezekani mtu na akili zako timamu ukala kumbi kumbi
Niliona kwa wapare! Ila sasa kumbikumbi ni wadudu kabisa mpaka mtu upate wazo la kujaribu kula njaa itakuwa imekupiga sanaUlijuaje makande yanaliwa😅
South Afrika nao wanakula washawasha🙊 yani kila nikifikiria wale wadudu walivyo halafu eti kuna maeneo wanakula... nachoka kabisaNenda Kivu au Burundi huko uone raia wanakula nzi...
Kwetu wanaliwa pia sema mimi siwali, I don't take a life of any living organism.Niliona kwa wapare! Ila sasa kumbikumbi ni wadudu kabisa mpaka mtu upate wazo la kujaribu kula njaa itakuwa imekupiga sana
South Afrika nao wanakula washawasha🙊 yani kila nikifikiria wale wadudu walivyo halafu eti kuna maeneo wanakula... nachoka kabisa
Wanavyowasugua kwenye mchanga ndio wanawatoa manyoya?View attachment 2054918
Vipi anayekula hiyo hapo juu?
Utakuwa mpumabvu sana we mjinga stupid asshole. Wewe kwenu mnakula mavi na hatusemi, mavi wewe.Haiwezekani mtu na akili zako timamu ukala kumbi kumbi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..Haiwezekani mtu na akili zako timamu ukala kumbi kumbi
hizi ni pombe.Utakuwa mpumabvu sana we mjinga stupid asshole. Wewe kwenu mnakula mavi na hatusemi, mavi wewe.
Babako alinyonya nanihii ya mamako mbona husemi kwamba nae hana akili? Mamako mbona alikula nanihii ya babako na huoni ni hana akili?
Niwatamu sanaHaiwezekani mtu na akili zako timamu ukala kumbi kumbi