Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hao haoSi wale wenye rangi rangi hata hapa TZ niliona wanaliwa
Yani yale madude nilikuwa sijui kama kuna mahala wanakula, nilipofika SA nilishangaa sana, basi itakuwa ukanda huo wote wanayala.Zambia na DRC maeneo kama Lubumbashi wanakula ile midudu washa inakuwa kwenye miembe kipindi cha mvua...
Unakuta wamesonga bonge la ugali, na kwenye bakuli imejaa ile midude imekaushwa...
Kwenu ni wapi??Kwetu wanaliwa pia sema mimi siwali, I don't take a life of any living organism.
Mbona wanokula hizo, na vitu vingine vya ajabu ajabu wanakuzidi uwezo wa kufikiri?!!Haiwezekani mtu na akili zako timamu ukala kumbi kumbi
Na vile ni mwanaume wa Dar, siku ukiambiwa ni dawa ya kuongeza nguvu za kiume utakula hadi kichuguu chake.Haiwezekani mtu na akili zako timamu ukala kumbi kumbi
Hunduni ni Nini [emoji205]Watu tunaikula papuchi na Hunduni yake itakuwa hicho ki mdudu.
[emoji123]Kumbikumbi ni source nzuri ya protein
Yani yale madude nilikuwa sijui kama kuna mahala wanakula, nilipofika SA nilishangaa sana, basi itakuwa ukanda huo wote wanayala.
Halafu wanasema ni nzuri sana kwa waja wazito maana yanaongeza damu
Hii kitu tamu balaaKaribu Mkuu!View attachment 2054932
Vipi wale wanaokula senene wao unawaitaje?Haiwezekani mtu na akili zako timamu ukala kumbi kumbi
Haiwezekani mtu na akili zako timamu ukala kumbi kumbi