Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watamu kama nanii gani mamii? Funguka tu kwa faida ya walio wengi, Jf ni jukwaa huru siyo?Wale wadudu watam kama naniii[emoji39]
Nyie tupigeni kamba tu!!Zambia na DRC maeneo kama Lubumbashi wanakula ile midudu washa inakuwa kwenye miembe kipindi cha mvua...
Unakuta wamesonga bonge la ugali, na kwenye bakuli imejaa ile midude imekaushwa...
HahahaCha ajabu asiyekula kumbikumbi akiwa na upungufu wa damu atachangiwa damu na anayekula kumbikumbi.
Yule asiyekula kitimoto na kumuita mwenzake kafiri naye akiumwa upungufu wa damu naye ataongezewa damu na hao hao makafiri na wala kitimoto.
Kama kumbikumbiWatamu kama nanii gani mamii? Funguka tu kwa faida ya walio wengi, Jf ni jukwaa huru siyo?
Kumbikumbi na senene nakula sana protini tamu sana ileHaiwezekani mtu na akili zako timamu ukala kumbi kumbi
Binafsi napenda sana kumbikumbi,Kama kumbikumbi