Mtu mwenye akili timamu hawezi kula kumbikumbi

Mtu mwenye akili timamu hawezi kula kumbikumbi

mi binafsi nimeshindwa kula ngoja wahaya waje hapa
 
Mleta mada yupo sahihi kumbikumbi hapaswi kuliwa kwa mujibu wa Neno la Mungu maana sifa za wadudu wanaopaswa kuliwa zimetajwa ambazo kumbikumbi hana mojawapo ni kama nguruwe, sungura, bata nk

Walawi :11:21
Lakini, baadhi ya wadudu wenye mabawa na wanakwenda kwa miguu minne ya kurukia ardhini mnaweza kula.

Walawi :11:22
Hao ni: Kila aina ya nzige, kila aina ya senene, kila aina ya panzi na kila aina ya parare.

Walawi :11:23
Lakini wadudu wengine wote wenye mabawa na miguu minne ni najisi kwenu.
Ficha basi kutokuelewa kwako.
Yesu ni law giver.
Kanisa lina vipindi tofauti saba. Hicho kipindi kilipita kama vile ilivyopita talaka au kuteketeza wanyama kupata msamaha wa dhambi sasa hivi haikubaliki tena ndani ya kanisa
 
Ficha basi kutokuelewa kwako.
Yesu ni law giver.
Kanisa lina vipindi tofauti saba. Hicho kipindi kilipita kama vile ilivyopita talaka au kuteketeza wanyama kupata msamaha wa dhambi sasa hivi haikubaliki tena ndani ya kanisa
Wewe ndiyo wa kuficha kutokuelewa kwako Yesu aliposema hivi alimaanisha nini?

Mathayo :5:17
“Msidhani kuwa nimekuja kutangua sheria na mafundisho ya manabii. Sikuja kutangua bali kukamilisha.
 
Utakuwa mpumabvu sana we mjinga stupid asshole. Wewe kwenu mnakula mavi na hatusemi, mavi wewe.

Babako alinyonya nanihii ya mamako mbona husemi kwamba nae hana akili? Mamako mbona alikula nanihii ya babako na huoni ni hana akili?
Chaa! Hizi inappropriate explosions huwa mnatoa wapi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]..

Moja ya vitu vitamu Mungu aliumba ni hao wadudu.. nitawala mpaka kesho yani namna ya kuwapata ndo mtiti

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
Mi kuwakamata naogopa lakini wakishakuwa tayari natoka mafichoni nakula vizuri...!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mleta mada yupo sahihi kumbikumbi hapaswi kuliwa kwa mujibu wa Neno la Mungu maana sifa za wadudu wanaopaswa kuliwa zimetajwa ambazo kumbikumbi hana mojawapo ni kama nguruwe, sungura, bata nk

Walawi :11:21
Lakini, baadhi ya wadudu wenye mabawa na wanakwenda kwa miguu minne ya kurukia ardhini mnaweza kula.

Walawi :11:22
Hao ni: Kila aina ya nzige, kila aina ya senene, kila aina ya panzi na kila aina ya parare.

Walawi :11:23
Lakini wadudu wengine wote wenye mabawa na miguu minne ni najisi kwenu.
[emoji849][emoji849][emoji849]
 
Mleta mada wewe mpuuz sana vitu hivi huendana na kabila

Taja kabila lako tukwambie mnakula nini vya ajabu
 
Kuna asili.wanakula madimu ambayo ni kama funza yanatokana kwenye magome ya miti mikubwa na walaji wanaheshimu sana hawa

Pia kwa sasa ni nyara ya selikal
Wapimbwe mboga kubwa sana hii
 
Watu tunaikula papuchi na Hunduni yake itakuwa hicho ki mdudu.
 
Unaweza ukawa sahihi ila umeletw mada kiumbea umbea sana.
Ebu fafanua kwann hawana akili?
 
Back
Top Bottom